saede mbondela
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 368
- 237
Wazee nafikiria kuanza maisha nikiwa na kibanda changu.
Nijiandae na kiasi gani ili niweza kujenga vyumba 2 na seble toi na jiko humohumo.
Nijiandae na kiasi gani ili niweza kujenga vyumba 2 na seble toi na jiko humohumo.