Reserved
JF-Expert Member
- Sep 16, 2008
- 742
- 68
Hii ni baadhi michoro inayoeleza ufanyaji kazi wa friji.
Haya wenye utaalam na mambo ya coooling system tupeni shule huku tukitafuta maelezo mengine.
Kwa nini kitu kinatwa compressor kinaharibika mara wa mara kwenye mafriji yetu ya" mitumba". Maana sometime unaweza kuhisi fundi msanii
Nini kifnyike mafriji yasiharibike haribike hizo compressor au yapoze vizuri?
Haya wenye utaalam na mambo ya coooling system tupeni shule huku tukitafuta maelezo mengine.
Kwa nini kitu kinatwa compressor kinaharibika mara wa mara kwenye mafriji yetu ya" mitumba". Maana sometime unaweza kuhisi fundi msanii
Nini kifnyike mafriji yasiharibike haribike hizo compressor au yapoze vizuri?