Mafriji-tufanyeje yadumu

Mafriji-tufanyeje yadumu

Reserved

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2008
Posts
742
Reaction score
68
Hii ni baadhi michoro inayoeleza ufanyaji kazi wa friji.

images
images
images


images



Haya wenye utaalam na mambo ya coooling system tupeni shule huku tukitafuta maelezo mengine.

Kwa nini kitu kinatwa compressor kinaharibika mara wa mara kwenye mafriji yetu ya" mitumba". Maana sometime unaweza kuhisi fundi msanii

Nini kifnyike mafriji yasiharibike haribike hizo compressor au yapoze vizuri?
 
Friji ni compresa na compresa nyingi tunazotumia ni mitumba zimetoka nchi za baridi (2)umeme wetu haueleki mara volt 240 mara 180 hapo lazima ife (3)matumizi atujui friji inawashwa kama tv au radio aitakiwi kabisa ..kama unatafuta kompresa nunua DANFOS ya german hii pekee ndo yenye huakiki pia inahimiri joto .usisahau kizibiti umeme ni muhimu sana. Kizibiti umeme kisiwe cha kichina. Friji iwekwe kwenye hewa safi .kama nyumba ni ndogo weka ft moja toka ukutani. pia akikisha themostati yake inafanya kazi vizuri. Bahazi ya gesi zinazowekwa kwenye friji zinachangia kuhua compresa .fundi wako awe mjanja kubaini gesi nzuri na ya mchina
 
Friji ni compresa na compresa nyingi tunazotumia ni mitumba zimetoka nchi za baridi (2)umeme wetu haueleki mara volt 240 mara 180 hapo lazima ife (3)matumizi atujui friji inawashwa kama tv au radio aitakiwi kabisa ..kama unatafuta kompresa nunua DANFOS ya german hii pekee ndo yenye huakiki pia inahimiri joto .usisahau kizibiti umeme ni muhimu sana. Kizibiti umeme kisiwe cha kichina. Friji iwekwe kwenye hewa safi .kama nyumba ni ndogo weka ft moja toka ukutani. pia akikisha themostati yake inafanya kazi vizuri. Bahazi ya gesi zinazowekwa kwenye friji zinachangia kuhua compresa .fundi wako awe mjanja kubaini gesi nzuri na ya mchina

Ok aksante na ni gesi gani hiyo inatumika kwenye friji ?
 
pia kutoitingisha tingisha ki zigi zaga inadumu zaidi. tumia zile extension za soketi za kuzuia umeme usiharibu.
kwa gesi sifahamu mie
 
mkuu tuelezee ni gesi aina gani ni nzuri.langu limevuja gesi nahitaji kuweka gesi tena.

Hii ndiyo hata mimi nashangaa sometime fundi anasema gesi imepungua sana na kuvuja ndio maana halipozi . Sasa sijui nini kinasababisha kuvuja.....
 
Yap 134a ndio nzuri kwani haiharibu ozone layer tofauti na R17. Pia inapatikana kwa wingi kwenye soko la hapa bongo
 
Ok aksante na ni gesi gani hiyo inatumika kwenye friji ?

zamani gesi tuliyokua tunatumia ni R 12 Watu wa mazingira wanasema inaharibu mazingira kwa sasa gsi zinazotumika ni R 134 na R 600 inategema compresa yako .compresa za sasa imeandikwa pembeni aina ya gesi itumikayo .wachina wameingia kwenye hizo gesi hasa hiyo R 134 fundi anakiwa awe makini kuhitambua gesi harisi
 
Hatuwezi kuishi wote "masaki".Hata hivyo inaweza kuwa mpya bado ikapata matatizo zaidi hata used

Friji jipya la mwaka 2011 liliotengenzwa kwa stability na viwango vya umeme wa japan linaweza kuchemsha Tanzania kuliko Friji used la japan la mwaka 2008.....

So sidhani kama ni definite foumula kuwa every used ni scrapper. ........
 
Mie mbinu ninayotumia ni kununua friji ya mtumba ambayo haijaguswa compressor....chunguza kwa makini compressor iliyochomelewa bongo inamg'ao wa shaba hiyo itose nunua ambayo utaona sehemu ya maungio hayajachomelewa hapa TZ hakika utadumu nayo hadi basi. Nimebaini gesi wanazojaza hapa bongo zinatatizo hivyo ukinunua ya kujaziwa hapa utajenga urafiki na mafundi kila mara. Hilo la kulinda umeme ni la muhimu tena haswa kwa friji mpya ndio usifanye kosa hilo kabisa la sivyo utabakia unagugumia maumivu ya kuliwa fedha zako.
 
Ni kweli inabidi kuwa makini sana kwenye kununu fridge used. Kama una fundi rafiki yako ni bora kumshirikisha kwenye kununua maana wanazijua za ukweli na ambazo sio za ukweli
 
Mimi yangu Nia miaka mitano hatumiki kutokana na changamoto ya umeme ndo nataka kununua generator je utafanya kazi?
 
Hatuwezi kuishi wote "masaki".Hata hivyo inaweza kuwa mpya bado ikapata matatizo zaidi hata used

Friji jipya la mwaka 2011 liliotengenzwa kwa stability na viwango vya umeme wa japan linaweza kuchemsha Tanzania kuliko Friji used la japan la mwaka 2008.....

So sidhani kama ni definite foumula kuwa every used ni scrapper. ........
Uwe makini sana na vitu used. Vingi havijatengenezwa kutumia katika mazingira yetu ya Africa na pia mengi yanatumia umeme mwingi sana ukilinganisha na hizi mpya ambazo zimetengenezwa kwa soko la Africa. Nimewahi kuwa na fridge ya mtumba miaka ya nyuma ilikuwa inakula sana umeme

Fridge nyingi za dukani ni nzuri kuliko used haswa kwenye teknolojia na ku-save umeme. Nina deep freezer la Frost Free aina ya Dawlance huu mwaka wa 12 halijawahi hata ku vibrate, nilinunua dukani jipya kabisa sijui kuongeza gesi wala nini ila nimeliwekea stabilizer yake ya mjerumani
 
Hii ni baadhi michoro inayoeleza ufanyaji kazi wa friji.

images
images
images


images



Haya wenye utaalam na mambo ya coooling system tupeni shule huku tukitafuta maelezo mengine.

Kwa nini kitu kinatwa compressor kinaharibika mara wa mara kwenye mafriji yetu ya" mitumba". Maana sometime unaweza kuhisi fundi msanii

Nini kifnyike mafriji yasiharibike haribike hizo compressor au yapoze vizuri?
Umejiuliza pia kwa nini Zinatumia Units nyingi za Umeme,kiasi kwamba imekuwa ni sehemu ya mtanzania kuzima friji usiku kucha kupunguza matumizi ya umeme??
(1.)huko zilipotoka mbali na kutumika non stop( maana friji ukiwasha umewasha no kuzima kule kwa wenzetu) umeme wao upo stebo.huku kwetu meme aupo stebo na pia unakatika katika
(2.) hii zima washa za huku kwetu zinaleta kutu hivyo kufupisha life span ya pipes etc.
(3.) hizi compresors ni chakavu kwani zimepiga mzigo over 5 to 10 yrs huko zilipotoka
 
Back
Top Bottom