aibu kwa hao green guard (police) yan mafisadi wanatesa tu mtaani wao wapo busy kutekeleza mawazo na fikra za mwenyekiti kuwanyanyasa wapinzan....
naona ameanza kucopy ya mwenzie museveni na besigye.
Mkuu upo sawa kichwani?Hongera kwa kununua au kujua kutumia kompyuta maana leo uko katika kujaribu kuitumia ndo maana toka 2008 ndo umeibuka leo, tena kwa kutoa hoja tasa ambayo haina hata mashiko. Hivi ulitaka watu wajiingize katika lawlessness halafu waachwe tu?
Mkuu upo sawa kichwani?
Hongera kwa kununua au kujua kutumia kompyuta maana leo uko katika kujaribu kuitumia ndo maana toka 2008 ndo umeibuka leo, tena kwa kutoa hoja tasa ambayo haina hata mashiko. Hivi ulitaka watu wajiingize katika lawlessness halafu waachwe tu?
This was uncalled for. Ninaamini kuwa kuna agenda rasmi ya ku harrass viongozi wa upinzani kwa kuwakamata. Mark my words, this action will backfire kwa vile kitendo hicho kinaonyesha wazi kuwa chama tawala kinahofia kasi ya upinzani na suluhisho lao ni kutumia vyombo kandamizi vya dola. Vitendo hivyo vinaonekana kwa wananchi wote, na watakachokifanya wananchi ni kuugeuzia mgongo chama tawala. Time will tell.Hongera kwa kununua au kujua kutumia kompyuta maana leo uko katika kujaribu kuitumia ndo maana toka 2008 ndo umeibuka leo, tena kwa kutoa hoja tasa ambayo haina hata mashiko. Hivi ulitaka watu wajiingize katika lawlessness halafu waachwe tu?
Yarudie tena hayo maandishi mekundu alafu ujipime uwezo wako wa kufikiri.Hongera kwa kununua au kujua kutumia kompyuta maana leo uko katika kujaribu kuitumia ndo maana toka 2008 ndo umeibuka leo, tena kwa kutoa hoja tasa ambayo haina hata mashiko. Hivi ulitaka watu wajiingize katika lawlessness halafu waachwe tu?