shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Nasikia UKAWA wakisema kuwa TOROKA UJE, me ninavyojua mtu anayetoroka huwa ana makosa, asiye na makosa huwa hatoroki, bali huwa anaomba ruhusa au anaondoka tu. kumbuka kutoroka shule, kutoroka kazini, na nk. ina maana unaondoka baada ya makosa. Hivyo wale wote wanaotoroka CCM wanatoroka kwa sababu wana makosa na makosa yenyewe ni wizi na ufisadi, naomba watoroke mapema kabla magufuli hayajafungwa, sijui watawekwa sero moja au watasambazwa mikoa yote. tunaomba magereza yasiboreshwe.