Mafisadi papa ndani ya CCM kumkwamisha rais?

Mafisadi papa ndani ya CCM kumkwamisha rais?

Joined
Dec 2, 2015
Posts
13
Reaction score
1
Kuna baadhi ya makada ndani ya chama cha mapinduzi waliozoea kukwepa kodi kwa mgongo wa chama waanza kulalamika kwenye vyombo vya habari wakimlaumu raisi kwa hatua anazochukua pia hofu yatanda kwa CCM kuitisha kikao cha ghafla wanahisi ni kwenda kumjadili raisi.

Je nyie wadau mnasemaje kwa hili?
 
CCM ya kikwete itampunguza nguvu magufuri.
 
Hebu tufanye hivi;
Kikao kimekaa tayati na kumjadili kuwa amefanya makosa, sasa nini wanachoweza kufanya, kumkanya au kumpa 'warning' akiwa kama amiri jeshi mkuu?
 
Acha ccm wajichanganye kumvuruga Magufuli kama ya Malawi hayajatokea hapa kwetu
 
Kazi ipo. Kama Magu anania ya kweli na dhati katika hii kasi yake asiogope azidishe tu kwani watanzania wamenyanyasika mda mrefu kwenye nchi yao na watu wachache waliojiona ni miungu watu.

Lipumba alitusaliti ndio itapendeza akimpa wizara ya fedha. Zitto alitusaliti ndio akimpa nishati na madin mzuka. Anna mwigira naye. Professor Jay michezo. Hao wanne tu wametosha kutoka upinzan
 
Kwani brother magu ni raisi kutoka ccm yeye kajipigia debe mwanzo mwisho chagua serikali ya magufuli chagua magufuli hapa kazi tu akiwauliza Wapi alisema chagua ccm watamjibu nini mbaba Wa watu kapiga mipushap peke yake kapitia juu ya Magari kasema lugha zeto anazojua za makabila tofauti sasa hivi wanataka kumretea shobo atazaa na mtu
 
Kuna baadhi ya makada ndani ya chama cha mapinduzi waliozoea kukwepa kodi kwa mgongo wa chama waanza kulalamika kwenye vyombo vya habari wakimlaumu raisi kwa hatua anazochukua pia hofu yatanda kwa CCM kuitisha kikao cha ghafla wanahisi ni kwenda kumjadili raisi.

Je nyie wadau mnasemaje kwa hili?

usihofu kama ccm walithubutu kumkata malikia na mfalma wa mafisadi na bado ikawa stable ni nani mwengine atakayetisha ccm ,
kama lowasa , rostam karamai wamechomo nani mwingine unadhani ataisumbua ccm
 
Kwani brother magu ni raisi kutoka ccm yeye kajipigia debe mwanzo mwisho chagua serikali ya magufuli chagua magufuli hapa kazi tu akiwauliza Wapi alisema chagua ccm watamjibu nini mbaba Wa watu kapiga mipushap peke yake kapitia juu ya Magari kasema lugha zeto anazojua za makabila tofauti sasa hivi wanataka kumretea shobo atazaa na mtu

Hahahaha! Na hicho kiti na kipaza sauti asitumie wakimweka kikao. Kolimba unamkumbuka.
 
Wakalipe Kodi kwanza kisha ndo wakae wamjadili Rais !!! Hayo ndo makundi ya majangili kwenye Chama ambao wanatakiwa kuondolewa !!! wengi wao wanaotaka kumjadili Rais wanaona Deal zao zimeingiliwa !!!:lock1:
 
Back
Top Bottom