donimuya
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 272
- 55
BRN tumeuiga kutoka Malaysia katika mpango wao waliouita BIG FAST RESULTS (BFR) hebu tulinganishe vipaumbele vya hii mipango miwili halafu tujiulize kama wenzetu wamefanikiwa je kwa hivi vipaumbele vyetu unapata hisia gani? kusoma hatujuwi je hata picha hutuoni? hasa tukizingatia kuwa matatizo makubwa tuliyonayo ni pamoja na ufisadi, uharifu mbalimbali na mengineyo
BIG RESULTS NOW (BRN)
1) Nishati na Gesi Asilia
2) Kilimo
3) Maji
4) Elimu
5) Usafirishaji
6) Resources Mobilization
BIG FAST RESULTS (BFR)
1) Kupunguza Uharifu
2) Kupambana na Ufisadi
3) Kuboresha matokeo ya wanafunzi
4) Kupandisha kiwango cha maisha cha watu wenye kipato cha chini
5) Kuboresha miundo mbinu ya msingi vijijini
6) Kuboresha usafiri wa umma, and addressing the cost of living.
JE NDUGU ZANGU WANAJF katika vipaumbele vyetu unadhani tumeweka misingi imara ya kusimamia utekelezaji, kulinda kitakachopatikana, kupima matokeo na kujuwa ni nani aliyefaidika na brn?
BIG RESULTS NOW (BRN)
1) Nishati na Gesi Asilia
2) Kilimo
3) Maji
4) Elimu
5) Usafirishaji
6) Resources Mobilization
BIG FAST RESULTS (BFR)
1) Kupunguza Uharifu
2) Kupambana na Ufisadi
3) Kuboresha matokeo ya wanafunzi
4) Kupandisha kiwango cha maisha cha watu wenye kipato cha chini
5) Kuboresha miundo mbinu ya msingi vijijini
6) Kuboresha usafiri wa umma, and addressing the cost of living.
JE NDUGU ZANGU WANAJF katika vipaumbele vyetu unadhani tumeweka misingi imara ya kusimamia utekelezaji, kulinda kitakachopatikana, kupima matokeo na kujuwa ni nani aliyefaidika na brn?