nauliza kwa ambao washawahi kwenda mafia mnapita wapi kwenda kwa boti? kwa kutokea dar mnapandia wapi boti na nauli zikoje? na usalama? nataka niende kutafuta opportunity za biashara huko
nilidhani unamaanisha lile genge la uharifu. Hongera kwa uzuri lakini
nauliza kwa ambao washawahi kwenda mafia mnapita wapi kwenda kwa boti? Kwa kutokea dar mnapandia wapi boti na nauli zikoje? Na usalama? Nataka niende kutafuta opportunity za biashara huko