1.Wewe Ni She?
2.Umeoa/kuolewa?
3.Umekuzwa Na Wazazi Wote Wawili?
Ukinijibu,Utanipa Njia Ya Kuanzia!
Una maswali mengi,kwani we ni polisi...???
I thought kila mwanaume aliyefanikiwa,kuna mkono wa mwanamke nyuma yake...kumbe ni kinyumenyume.....!
we Mbona Umeuliza?
Yap kuna Mikono ya wanaume!! Pia kwa kila m/me aliyepigika basi ujue kuna mkono wa m/ke.
Mada haihitaji ujue jinsia ya aliyeuliza...inaeleweka,we tupia mtazamo wako...kama kuna ukweli ama laa...acha maswari mengi...
MIKONO YA WANAUME sio Mwanaume hahahahha jf raha
Habari zenu wanaJF.
Nimejikuta nikitafakari kama kuna ukweli wowote kuwa,kila mwanamke aliyefanikiwa,kuna mkono wa mwanaume nyuma yake?
Hebu tupieni mitazamo yenu hapo...