Mafanikio ya chadema toka 2010-2014

Mafanikio ya chadema toka 2010-2014

Godfrey Mushi

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
75
Reaction score
41
Leo napenda kuweka wazi mafanikio ya chama changu cha cdm toka 2010 mpaka sasa;
*Katika chaguzi ndogo zilizofanyika hapa katikati CHADEMA imepata kuongeza Majimbo,kata,vijiji,vitongoji na Serikali za vijiji,,>CHADEMA IMEONGEZA UPANA WAKE NCHINI PAMOJA NA KUWEPO KWA DAFTARI LA HOVYO LA WAPIGA KURA,HUJUMA ZA TISS,POLISI,WAKURUGENZI,SERIKALI ZA MITAA NA UHUNI WA MAGREEN GUARD<

=Chadema imepata kunyakua Jimbo la Arumeru Mashariki moja lililokuwa mali ya maccm
=Cdm imenyakua kata 13 zilizokuwa imaya ya maccm(UCHAGUZI-AWAMU YA KWANZA KATA 6,AWAMU 2 KATA 5,AWAMU YA 3(JANA)KATA 2(NJOMBE NA SOMBETINI)
=Cdm imenyakua Vijiji 105 na vitongoji 211
=Chadema ijipatia wajumbe wa serikali za vijiji 320,,,

Hivyo vyote vilikuwa imaya ya ccm ktk matokeo ya uchaguzi wa 2010 lakini kwa sasa ni mali ya CDM,,,
-Cdm imepoteza kata 1 tu toka 2010

#IKUMBUKWE PIA CDM IMEPATA KUNYAKUA VITONGOJI 2 NA WAJUMBE WA KIJIJI 41 KTK JIMBO LA MWIGULU NCHEMBA,AMBAPO KTK JUMLA YA KURA CDM ILIPATA JUMLA YA KURA 776 NA CCM 1880,,,

MBELE TUNASONGA
 
Hayo ni mafanikio makubwa sana kwa kutumia daftari la zamani la 2010 lakini maccm hawalioni hilo
 
asante ila jana tumechukua kata 3 siyo 2 pamoja tunasonga mbele
 
Uchambuzi huu ni MZURI,tabu magamba wanaoa na kuacha,wanarudia tena mwanamke yule yule wanadai ni MKE MUPYA.
 
CCM wanashinda kwa nguvu ya mabomu, risasi, mapanga, virungu, vitisho, mauaji, pesa na udhaifu wa daftari la wapiga kura nk.... Nafasi kwa CHADEMA 2015 bado ipo kubwa kwa kuwa kuna ingizo jipya la wapiga kura zaidi ya milioni 5... Idadi hii yote ina hasira na ccm
 
Bado wananchi waTZ wanahitaji elimu ya uraia kwa sababu pamoja na kuibiwa kote na magamba bado wanawaona ni watu?. Bado tunayo safari ndefu ila najua miezi iliyobaki ni mingi sana mpaka October 2015 CDM watakuwa wamekata mizizi ya kutosha kwa kutoa somo la uraia
 
Leo napenda kuweka wazi mafanikio ya chama changu cha cdm toka 2010 mpaka sasa;
*Katika chaguzi ndogo zilizofanyika hapa katikati CHADEMA imepata kuongeza Majimbo,kata,vijiji,vitongoji na Serikali za vijiji,,>CHADEMA IMEONGEZA UPANA WAKE NCHINI PAMOJA NA KUWEPO KWA DAFTARI LA HOVYO LA WAPIGA KURA,HUJUMA ZA TISS,POLISI,WAKURUGENZI,SERIKALI ZA MITAA NA UHUNI WA MAGREEN GUARD<

=Chadema imepata kunyakua Jimbo la Arumeru Mashariki moja lililokuwa mali ya maccm
=Cdm imenyakua kata 13 zilizokuwa imaya ya maccm(UCHAGUZI-AWAMU YA KWANZA KATA 6,AWAMU 2 KATA 5,AWAMU YA 3(JANA)KATA 2(NJOMBE NA SOMBETINI)
=Cdm imenyakua Vijiji 105 na vitongoji 211
=Chadema ijipatia wajumbe wa serikali za vijiji 320,,,

Hivyo vyote vilikuwa imaya ya ccm ktk matokeo ya uchaguzi wa 2010 lakini kwa sasa ni mali ya CDM,,,
-Cdm imepoteza kata 1 tu toka 2010

#IKUMBUKWE PIA CDM IMEPATA KUNYAKUA VITONGOJI 2 NA WAJUMBE WA KIJIJI 41 KTK JIMBO LA MWIGULU NCHEMBA,AMBAPO KTK JUMLA YA KURA CDM ILIPATA JUMLA YA KURA 776 NA CCM 1880,,,

MBELE TUNASONGA

Mkuu asante kwa uchumbuzi makini.

Agiza supu apo ntalipa.
 
Chadema ndo wanahitaji elimu ya uraia waachane na sera za kibaguzi
 
uchambuzi makini sana ila vijana wa lumumba wanaleta malumbano tu na uwizi wao wa kura ulio asisiwa na polisi kushirikiana na wakuu wa wilaya wakishirikiana na usalama wa taifa ccm kazi mnayo sana
 
uchambuzi makini sana ila vijana wa lumumba wanaleta malumbano tu na uwizi wao wa kura ulio asisiwa na polisi kushirikiana na wakuu wa wilaya wakishirikiana na usalama wa taifa ccm kazi mnayo sana

haya yote kikomo chake kimefika
 
CCM wanashinda kwa nguvu ya mabomu, risasi, mapanga, virungu, vitisho, mauaji, pesa na udhaifu wa daftari la wapiga kura nk.... Nafasi kwa CHADEMA 2015 bado ipo kubwa kwa kuwa kuna ingizo jipya la wapiga kura zaidi ya milioni 5... Idadi hii yote ina hasira na ccm

Mkuu kihama kimewafikia hawa magamba
 
Back
Top Bottom