Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,217
- 14,811
haijawahi kutokea tangia kuanzishwa kwa hizi nchi zinazoitwa za afrika ya mashariki kwamba waganda wakawa juu ya tanzagiza kiuchumi, siku zote ilikuwa kenya inaongoza halafu tanzagiza and then ug, sasa leo hii per capital income ya ug ni kubwa klk tanzagiza, usisahahu kwamba ug ni landlocked yaani haina bahari na inategemea bandari ya mombasa kusafirishia mizigo yake lkn bado wameweza kutupita.
halafu kutwa nzima mmekaa hapa kusifu tanzagiza wakati kiuhalisia tunarudi nyuma how else would you explain that kwamba ug leo hii ni tajiri klk watanzagiza?
income per capital (pato la kila mwananchi):
tanzagiza - 1,280 USD
uganda - 1,338 USD
kenya - 2,468
chanzo: List of African countries by GDP (nominal) - Wikipedia
this regime's got to go, man ...
halafu kutwa nzima mmekaa hapa kusifu tanzagiza wakati kiuhalisia tunarudi nyuma how else would you explain that kwamba ug leo hii ni tajiri klk watanzagiza?
income per capital (pato la kila mwananchi):
tanzagiza - 1,280 USD
uganda - 1,338 USD
kenya - 2,468
chanzo: List of African countries by GDP (nominal) - Wikipedia
this regime's got to go, man ...