3squere
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 925
- 181
Fagio linalofagia madhambi ya lowasa yamesika kasi sijui kama mtaweza kutowa mafumbi ukoko kinyezi na nk mtaweza kutuongopea tena siju kama mtadumu kwa muda gani umu jf kwani hicho kibaruwa kinaota majani na kazi mnayo, kama mtu ni msafi ni msafi tu na kama ni mchafu uwezi msafisha lowasa tafuta kazi nyingine ya kufanya na siyo siasa
Amen
Amen