Maeneo gani mazuri kutembea ukiwa Nairobi

Andre-Pierre

JF-Expert Member
Nov 4, 2019
328
1,209
Nataka December hii nivuke boda niende kwa majirani zetu Kenya. Nataka nifike Nairobi kwaajili ya mapumziko ya Xmass na mwaka mpya. Ni maeneo gani mazuri kutembelea viunga vya Nairobi. Vipi hali ya hewa ya huki ipoje? Ni joto kama hapa Dar? Nitapitia boda ya Namanga, nipeni muongozo wadau.
 
Utaishia kuzungukia mahoteli tu hawana beach na vitu kama mbudya au machimbo ya kigamboni kule au waterpark mbezi.

Hoteli zao kali sana joto hamna kama huku hali ya hewa safi. Downtown Nairobi ni kubwa na kali kuliko Downtown Dsm tuambiane ukweli.

Labda usiku uzame florida
 
Hali ya hewa Nairobi ni nzuri tu, sehemu ninayoipenda zaidi ni West land, huko ni ushuani
 
Tembelea eneo moja njia ya kwenda Gatundu kuna nyama choma sana. Ni eno zuri lz kupumzika jioni. Kwa ufahamu wako watu wa Kenya ni wachoyo sana. Hawana ukarimu.
 
Nenda pale kasarani urgent ,utakuta kila kitu pale kipo! Mpaka bata mzinga wapo nipesa yako tu mkuu!
 
Hujaona sehemu za kwenda kula bata mkuu hadi uende nairobi!!??
Anyway jaribu kwenda dandora,soweto na mukuru kayaba uta-enjoy na kujifunza mengi
 
Shopping Malls
Kuna options mingi for shopping. Consider the following places:
  1. Two Rivers Mall
  2. Garden City
  3. The Hub
  4. Westgate Mall
  5. Lavington Mall

Two Rivers Mall
Attractions: Largest ferris wheel in Africa, largest mall in East and Central Africa





Garden City Mall



The Hub Karen






 
Bars and Restaurants and Hangouts

Nairobi is the bar and restaurant capital of the region. You will be spoilt for choice. I recommend the following restaurants but we keep a directory of hangouts and social events at the following site :


Recommendations:

1:The Alchemist





2: K1 The Flea Market







3: Nyama Mama













4: Kiza











5: Caramel Restaurant and Lounge









 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…