Maendeleo Zambia yaanza kuonekana

Maendeleo Zambia yaanza kuonekana

He is one of rare species to be found in this part of the World.........

Wish you healthy life uweze kuijenga Zambia, hata kama sio part ya Tanzania lakini ni Wa-africa wenzangu na binadamu kama mimi, they deserve hope from their gov
.
 
Ndugu zangu mimi ni huku Zambia.
  1. Mafuta yashushwa kwa K492 kwa litre
  2. Mshahara kima cha chini K2,000,000 kwa wafanyakazi wa migodini, makampuni yote ya wawekezaji (hado Shoprite).
  3. Ballot papers zitakuwa zinachapishwa Zambia kuanzia mwakani. Rais alisema, ‘Kwanini miaka 47 ya uhuru tunaendelea kuchapicha nje ya nchi? Kama ni gharama, tutaingia tu…’
  4. Mawaziri wapunguzwa kutoka 23 hadi 19.
  5. Amedai pia kwamba haoni umuhimu wakuwa na wakuu wa wilaya.

Mkuu ili maendeleo yawe na maana ni lazima yawe 'sustainable otherwise wait and see', gooduck to them!
 
Ndugu zangu mimi ni huku Zambia.
  1. Mafuta yashushwa kwa K492 kwa litre
  2. Mshahara kima cha chini K2,000,000 kwa wafanyakazi wa migodini, makampuni yote ya wawekezaji (hado Shoprite).
  3. Ballot papers zitakuwa zinachapishwa Zambia kuanzia mwakani. Rais alisema, ‘Kwanini miaka 47 ya uhuru tunaendelea kuchapicha nje ya nchi? Kama ni gharama, tutaingia tu…’
  4. Mawaziri wapunguzwa kutoka 23 hadi 19.
  5. Amedai pia kwamba haoni umuhimu wakuwa na wakuu wa wilaya.
Mbona hz kama vile ni sera za Chadema? ina maana CHM goes International?
 
Ndugu zangu mimi ni huku Zambia.
  1. Mafuta yashushwa kwa K492 kwa litre
  2. Mshahara kima cha chini K2,000,000 kwa wafanyakazi wa migodini, makampuni yote ya wawekezaji (hado Shoprite).
  3. Ballot papers zitakuwa zinachapishwa Zambia kuanzia mwakani. Rais alisema, ‘Kwanini miaka 47 ya uhuru tunaendelea kuchapicha nje ya nchi? Kama ni gharama, tutaingia tu…’
  4. Mawaziri wapunguzwa kutoka 23 hadi 19.
  5. Amedai pia kwamba haoni umuhimu wakuwa na wakuu wa wilaya.

Hata kukiwa na maendeleo ya aina gani.. wadanganyika tutayaona kama Movie za Kanumba hadi siku mchawi aliyetuloga atakaporudi!
 
Mkuu Kwacha moja ni sawa na US dollar ngapi au sawa Tsh ngapi,Hivi niandikapo bei ya mafuta imepanda tena hapa Dar diesel litre moja ni Tsh 2010

Mkuu 1k=0.29Tsh ina maana kuwa 1lt inauzwa kwa TSH 164. KUIUKWELI PEAS YAO INA THAMANI SANA
 
2,000,000 Kwacha is $402.00 US huu ndio mshahara wa wana Migodi Zambia. I don't know how much watanzania wanapata.

That means One (1) USD = 4975.04 Zambia Kwacha
 
mkuu ni sawa kabisa kwamba huwezi kusema nchi ina amani wakati watu wanakula mlo mmoja......hospitalini wanalala chini....madawa hakuna....shuleni wanakalia mawe, wengine chini....wakati polisi wanabambikia watu kesi....wakati watu wakiandamana kwa amani wanapigwa risasi ni upuuzi kusema nchi ina amani.....
Hizo ndizo faida za kujitawala sisi wenyewe ndio tuliotaka kujitawala sasa tunacholalamika kitu gani?
 
Mbona wanapata mishahara midogo namna hiyo?yaani dola $ 402.00 tu?
Tanzania kima cha chini wanapata ngapi? Kwa peas ya madafu $402.00 ni sawa na Tshs. 643,400, je kima cha chini Tanzania wanapata kiasi hicho?
Sisi tulie tu na kubaki kukodolea mimacho wenzetu.
 
Hapo ni kumuombea Mungu,maana genge la mafia nalo linamtamani kwasababu ya msimamo wake,mara nyingi mabepari wanataka viongozi legelege na wasio na msimamo kwa kulinda maslahi ya wanyonge..Lakini mara zote Mungu yu pamoja nao wawateteao wanyonge....
 
isitoshe mafuta yanapita kwenye bandali ya Dar na kuelekea Zambia...

Halafu ukiwauliza viongozi wetu watakwambia mafuta yapo juu kwenye soko la dunia,aikai akilini kuniambia kuwa Zambia inayopitisha mafuta hapa kwetu washushe bei hivyo halafu sisi tubakie na mabei yetu haya ya sasa...viongozi wetu wakiri kuwa tatizo ni kushuka kwa thamani ya shilingi ndilo tatizo la msingi,ishu sio bei ya mafuta kwenye soko la dunia..kama Zambia wameweza kushusha bei hivyo kwanini isiwe sisi? au Zambia wananunua kwenye soko lingine sio tunalonunua sisi? kushuka kwa shilingi yetu ni janga kubwa sana na litatuumiza sana watanzania.
 
Back
Top Bottom