Naomba wadau mnisaidie kuhusu hii nchi yangu Tanzania, hivi ile taarifa iliyovuma ya Prof Juma Kapuya na yule binti au ndiyo tuseme mwenye pesa habuguziwi au kesi IPO mahakamani au ni vipi.
Naombeni msaada, mimi pia na jamiii nzima nategemea jamiiforums mpo juu tofauti na magazeti yetu ya Tanzania.
Naombeni msaada, mimi pia na jamiii nzima nategemea jamiiforums mpo juu tofauti na magazeti yetu ya Tanzania.