Narumu ni eneo linalopakana na Lyamungo,Machame na Kibosho. Na ni sehemu ya Wilaya ya hai. Ni vema kutambua kuwa jamii yoyote hapa duniani ipo katiaka mchakato wa maendeleo usiokoma. Ni ufinyu wa mawazo kuzungumzia maendeleo ya jamii Fulani kwa miaka 30 iliyopita kuwa ndiyo muonekanao wa sasa Kielimu,Kiafya, na Rasilimali. Narumu ya sasa kama jamii zingine imepiga hatua kubwa kimaendeleo na ni eneo wakazi wake wanaweza kujitambulisha bila chembe ya uoga uliowahi kuwepo zamani. Ikiwa kuna mchagia hoja hii atembelee kwanza jamii hii na kujionea kabla ya kuingia kwenye mjadala