Dominic Myumbilwa
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 190
- 93
kuna mdogo wangu mmoja alikuwa anaupenda huu wimbo yaani anaimba na raha zote huwa nikiusikia namkumbuka sana. maisha yamefunya tuwe mbalimbaliMastono wamenirukia nna kuberi mdomoni eeh....
machizi eeh,mwenzenu naozea segerea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huu wimbo unaniachaga hoi
Jamanikuna mdogo wangu mmoja alikuwa anaupenda huu wimbo yaani anaimba na raha zote huwa nikiusikia namkumbuka sana. maisha yamefunya tuwe mbalimbali