Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Gari yangu ina cc 1300 na kwa maelezo ya kwenye manual yake inasema kuwa Engine oil inayotakiwa kununuliwa ni 5W-30
Yeye ananambia kuwa kwa kuwa gari yangu engine yake imeshatembea zaidi ya kms 100,000 anashauri ninunue 20W-50 na anasema kwa hii gari haina haja ya kununua sythentic kutokana na kuwa engine yake imeshatumika sana na si gari ya umeme sana. Gari ni ya mwaka 2000. Toyota.
Sasa najiuliza nifanye nini....maaana muuzaji anasema kwa kuwa engine imeshatumika sana hiyo 5W-30 ni nyepesi sana.
Wataalamu tusaidiane katika hili.
Yeye ananambia kuwa kwa kuwa gari yangu engine yake imeshatembea zaidi ya kms 100,000 anashauri ninunue 20W-50 na anasema kwa hii gari haina haja ya kununua sythentic kutokana na kuwa engine yake imeshatumika sana na si gari ya umeme sana. Gari ni ya mwaka 2000. Toyota.
Sasa najiuliza nifanye nini....maaana muuzaji anasema kwa kuwa engine imeshatumika sana hiyo 5W-30 ni nyepesi sana.
Wataalamu tusaidiane katika hili.