Mlangaja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 579
- 218
Ni jambo la kusikitisha na kutia aibu pale unapotembea kila baa katika kila mji wa nchi hii na kukutana na misururu ya magari ya serikali yameegeshwa baa. Kwa mda mrefu nimetafakari suala hili, inaniuma sana kwani kwa moja kwa moja hela yangu inatumika kuwaweka watu baa. Wana jf naombeni mawazo yenu.
Je sheria inasemaje kuhusu matumizi ya magari ya serikali?
Je wizara inayohusika inafanya kazi gani? Na je kuna haja ya kuendelea kuwa na wizara hiyo pamoja na wafanyakazi wake? :angry:
Kwa mtindo huu taifa linakwenda wapi?
Je sheria inasemaje kuhusu matumizi ya magari ya serikali?
Je wizara inayohusika inafanya kazi gani? Na je kuna haja ya kuendelea kuwa na wizara hiyo pamoja na wafanyakazi wake? :angry:
Kwa mtindo huu taifa linakwenda wapi?