Mkuu wa mkoa wa dar es salaam amezifutita kampuni za udalali zinazokamata magari yaliyoegeshwa sehemu zisizostahili kutokana na manyanyaso na faini kubwa wanazotoza.badala yake utapangwa utaratibu mwingine ambapo kazi hiyo itafanywa na suma jkt.chanzo taarifa ya habari ya channel ten