Maegesho ya magari jijini Dar

Maegesho ya magari jijini Dar

neikia

Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
25
Reaction score
5
Mkuu wa mkoa wa dar es salaam amezifutita kampuni za udalali zinazokamata magari yaliyoegeshwa sehemu zisizostahili kutokana na manyanyaso na faini kubwa wanazotoza.badala yake utapangwa utaratibu mwingine ambapo kazi hiyo itafanywa na suma jkt.chanzo taarifa ya habari ya channel ten
 
Washavunaaaaa ndio wanajifanya kuwafutia...au wamefikisha target,???
 
Hoooray! Kifungo cha maisha kimeniepuka! Maana nilishapoteza uvumilivu juu yao.
 
Kuna jamaa yangu anaendesha Lori ss likaharibikia njiani barabarani jamaa wakaja wakata kumpiga fine kwanini gari la Transit limeegesha barabaran,,,jamaa akawaambia lina Tani30 sasa nilibebe kichwani?

Jamaa wakakomaa wanataka 150000
 
afadhali walitukamata posta mpya mpaka tukawakatia kitu kidogo 2weeks ago
 
Back
Top Bottom