Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
[h=3]MKUU WA WILAYA IRINGA AMFIKISHA POLISI MTENDAJI ALIYEGAWA MBOLEA KWA MAREHEMU........[/h]
Mjane wa marehemu Yohana Mtweve akionyesha kaburi la mumewe ambalo linadaiwa kupewa vocha za mbolea ya ruzuku
Mmiliki wa mtandao huu Bw Francis Godwin akitoa zawadi ya kanga kwa mjane huyo baada ya kuonyeshwa kaburi
Mtangaji wa Radio Ebony Fm Julian akifanya mahojiano na mtendaji wa kijiji cha Kibena Laurent Kidava anayetuhumiwa kugawa mbolea kwa marehemu
Hili ni kaburi la marehemu nikionyeshwa
Gari la mkuu wa wilaya ya Iringa likimshusha mtendaji huyo polisi kwa tuhuma za wizi wa mbolea ya ruzuku
Hapa mtendaji huyo akinipa kitabu cha wageni kabla ya kuanza mahojiano
Mjane wa marehemu Yohana Mtweve akionyesha kaburi la mumewe ambalo linadaiwa kupewa vocha za mbolea ya ruzuku
Mmiliki wa mtandao huu Bw Francis Godwin akitoa zawadi ya kanga kwa mjane huyo baada ya kuonyeshwa kaburi
Mtangaji wa Radio Ebony Fm Julian akifanya mahojiano na mtendaji wa kijiji cha Kibena Laurent Kidava anayetuhumiwa kugawa mbolea kwa marehemu
Hili ni kaburi la marehemu nikionyeshwa
Gari la mkuu wa wilaya ya Iringa likimshusha mtendaji huyo polisi kwa tuhuma za wizi wa mbolea ya ruzuku
Hapa mtendaji huyo akinipa kitabu cha wageni kabla ya kuanza mahojiano