Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 344
- 124
siyo huyo tu,,,,sasa naanza kuamini product za mzumbe nazo feki,,,kuna mfanyakazi mwenzangu mmoja,asubuhi na mapema unamkuta kavaa sunglasses,anaenda ofisini,hamna hata jua.alafu mchana mida ya lunch namkuta amezivua...Mzumbe vijimambo 2pu
bora huyo aliyekosea grammer kuliko wewe unayetoa mambo ya ofisi nje! hivi maadili ya kazi siku hizi mbona ni hovyo sana? hauna tofauti na yule anayetoa siri za ndani (unasema mambo ya mpz wako hadharani)
kweli wewe ulipewa nafasi kwa bahati mbaya
Tumia akili wewe acha kutumia masaburi, mambo ya kuvaa sunglasses cjui asubuhi au ucku wakati hamna jua kali ni lifestyle ya mtu na ulimbukeni wake hafundishwi chuoni wala hupaswi kuhusianisha na Mzumbe yetu!
Mbona wadau kibao tu tunakutana nao mwenge wametoka UD campus Hall 5 kavaa yeboyebo ambavyo naamini ni viatu vya chooni hupaswi kuja navyo ol tha way mpaka mwenge kama una akili zako timamu! Ucje ukatumia mistake ya m2 mmoja kuzungumzia Umma wote wa mzumbe thatz a grave mistake kwa mtoa uzi nahc akili alizipeleka likizo for a moment alikurupuka, hapa ni kuanzisha tu battle ya vyuo na hzo ni debate ziczo za msingi na manufaa jamvini.
Mwisho wa cku muanzisha uzi utakua umeajiriwa kwa kimemo hujui ethics za kazi pumbavu!
siyo huyo tu,,,,sasa naanza kuamini product za mzumbe nazo feki,,,kuna mfanyakazi mwenzangu mmoja,asubuhi na mapema unamkuta kavaa sunglasses,anaenda ofisini,hamna hata jua.alafu mchana mida ya lunch namkuta amezivua...Mzumbe vijimambo 2pu
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
nakubaliana na wewe 100%.hayo siyo matatizo ya chuo hayo ni matatizo binafsi.
Nawewe hapo katika red unasemaje sasa? wote wa Mzumbe hakuna kitu, usibishe. Mzumbe ilikuwa zamani siyo ya sasa...
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."
bora huyo aliyekosea grammer kuliko wewe unayetoa mambo ya ofisi nje! hivi maadili ya kazi siku hizi mbona ni hovyo sana? hauna tofauti na yule anayetoa siri za ndani (unasema mambo ya mpz wako hadharani)
kweli wewe ulipewa nafasi kwa bahati mbaya
Mzumbe ni chuo cha tarafa.Bado hujaona ya kile chuo cha kata DODOMA ambacho ukiingia getini tu unakutana na mnara wa CCM.Unategemea wahitimu wake watakua na tofauti na ccm??.Hili ni janga tunahitaji kulijadili kwa upana wake
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."