Madonna amefikisha miaka 60 leo

Tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda kumsikiliza Madonna, vibao vyake vya Papa dont Preach, La Isla Bonita na Holiday vinanikumbusha Redio Cassette yetu double decker ya Panasonic.
Ila Plastic surgery zinamfanya aonekane bint wa miaka 25. Happy birthday Queen of Pop.
 
Ana vituko lakini kipaji cha mziki anacho, namkubali sana Madonna, napenda nyimbo zake kama Frozen, power of goodbye, substitute for love, holiday, na nyinginezo
 
Napenda sana wimbo wa Frozen, Lasla Bonita, The power of goodbye, Don.t cry for me Argentina
 
Hivi yule mtoto aliyekuwa anataka kumu adopt huko Malawi alafu akaletewa zengwe na serikali huko vp alifaniiiwa...
Any way hbd Madonna

Ova
 
Hivi yule mtoto aliyekuwa anataka kumu adopt huko Malawi alafu akaletewa zengwe na serikali huko vp alifaniiiwa...
Any way hbd Madonna

Ova
Yule David Banda alimuadopt Malawi sasa hivi anasoma Football Academy Portugal. Shule ya David imemfanya Madonna ahamie huko kuishi nae.
 
Yule David Banda alimuadopt Malawi sasa hivi anasoma Football Academy Portugal. Shule ya David imemfanya Madonna ahamie huko kuishi nae.
Duh aise Kala shavu ndomana jamaa walikuwa wanabana walijua mtoto anaenda tusua maisha si unajua ngozi nyeusi kwa kubaniani

Ova
 
Kinyama kimekomaa vizuri sasa.. Kitamuje..!
Alikuwa mpenzi wa 2pac Shakuru. Walikuwa wanabanduana sana. Kama 2pac angekuwepo angekuwa kwy miaka kama 48.
2pac alikuwa Serengeti boys wake. Shuga Mammy wa nguvu. Huyu ndio muasisi wa Mashuga Mammy ambao wakina Emanuel Macron wa ufaransa wameiga kwa 2pac
 
Dah bonge la title muasisi wa mashuga mummy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…