Madoctor wa computer pitieni hapa kuna jambo

Madoctor wa computer pitieni hapa kuna jambo

LAMBOFGOD

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2016
Posts
1,561
Reaction score
1,319
Habari za saa hizi wanajukwaa, poleni kwa majukumu mbalimbali mliyokutana nayo siku ya leo katika kuhakikisha mnayaendesha maisha tena bila leseni ili mkono upate kufika kinywani na siyo maisha kutuendesha.

Mafundi wa computer naombeni msaada wenu juu ya kuformat/kuinstall windows kwenye computer, aina ya Hp EliteBook 8440p, core i5 kwa sababu kila nikiboot from USB, haiboot bali inastart normally, hivyo basi naomba mwenye kujua maybe setting za BIOS kwenye boot sequence anisaidie.

Karibuni kwa msaada na mchango wa kitaalam.
 
Unaweza :
1) ukatengeneza bookable cd ya windows unayotaka ku install then ukatumia external dvd. Ukafanya vizuri.
2) utengeneze bootable flash disk ya windows unayoitaka kisha una set kwa bios i boot toka kwenye flash then unaendelea.
3) unaweza kutumia network uka install.
4) unaweza uka weka image ya windows uka install from image.
Na au ukatumia Ghost !!!!

Karibu.
 
tafuta rufus kama imekataa.
Au format flash yako.kabla haujaforma itakuletea kibox fulan hiv
nenda kwnye file system. badilisha iwe NTFS format
baada ya hapo. nenda kwenye file la window. open. copy file zote zilizomo humo kwa kubonyeza ctrl +A kisha send kwenye flash.
ikishamalizika chomoa fulani. chomeka flash. Itakuletea kama kapicha fulani hiv kwenye fulan kwneny flash.
Zima pc yako. Bootable button inategemea na pc
Yangu HP natumia F9, Zingine F12. Pc kama dell yenyew inajiboot automatically.
Ukishindwa angalia kipind inawaka itakupa herufi ya kuboot
 
Back
Top Bottom