Kuwa na MIKOA MINGI sio UFANISI... ni UFISADI ndani ya CHAMA TAWALA; Wanaitajika VIONGOZI IMARA; Wanaopenda NCHI yao; Sio Wanafiki - Wanaimba KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI; Nyuma yake ni MABEPARI wa kupindukia na Wanakana hilo...
CCM ni Chama cha KIPEBARI lakini kinadanganya Wananchi; Hakitaki kusema ndani ya NCHI itikadi zake ni NINI...
Ndio maana Maendeleo Mengi Yanashindikana... UNAFIKI sio NGUZO ya MAENDELEO!!!
Sasa Wanataka kuigawa nchi kuwa na MIKOA 100 ili??? UKABILA ushamiri????
Hao madiwani wanatumiwa na hawajui walifanyalo; wengi wao hapo ni ndio MZEE, ukizingatia wengi wao elimu zao ziko mashakani.
Nani aliye waambia ati wananchi wana shida ya kumuona mkuu wa mkoa ?
By ze way Mkuu wa Mkoa anafanya kazi gani kama siyo kuongeza kasi ya ufisadi ?
HABARI
Na Godfrey Kahango, Mbarali. (email the author)
....wataalamu iliketi na kutafakari kwa kina namna ya kuugawa mkoa huo kwa kuzingatia maagizo ya mkuu wa mkoa.
Diwani Mwakibete, alisema madiwani wa halmashauri hyo wamependekeza jina la mkoa mpya liwe Rungwe ukiwa na Wilaya za Kyela, Rungwe,Ileje na Mbozi na makao makuu ya yawe Tukuyu.
Alisema pia wametaka jina la mkoa wa zamani libaki kuwa Mbeya ukiwa na Wilaya za Momba, Chunya, Mbeya na Mbarali na Makao makuu yakiwa Mbeya.
Alisema kamati hiyo haikuona haja yaa kuanzisha wilaya mpya kutokana na sababu za kijiografia.
Hao madiwani watakuwa walivuta bange kwenye full councel yao.
Yaani mtu atoke Vwawa aende Tukuyu kufuata Huduma za Serikali ya Mkoa? Sio uchizi huo?
Na huyo Kandoro wenu na Kikwete wana haraka gani na hilo? Gaweni mkoa wa Pwani kwa kuanzia.
Wilaya ya Rufiji iunganishwe na Bagamoyo na Makao makuu yawe Ikwiriri. So stupid! Anzeni ha hilo....
Hao madiwani watakuwa walivuta bange kwenye full councel yao.
Yaani mtu atoke Vwawa aende Tukuyu kufuata Huduma za Serikali ya Mkoa? Sio uchizi huo?
Na huyo Kandoro wenu na Kikwete wana haraka gani na hilo? Gaweni mkoa wa Pwani kwa kuanzia.
Wilaya ya Rufiji iunganishwe na Bagamoyo na Makao makuu yawe Ikwiriri. So stupid! Anzeni ha hilo....
Hakuna kuwa na mkoa kama Pwani ndani ya Dar. Hakuna kiungo cha Rungwe na Mbozi kupitia Ileje lazma utokee Mbeya. Labda makao makuu yawe katka Wilaya ya Ileje na kuchukua baadhi kata za Mbeya Vijijini
Hao madiwani watakuwa walivuta bange kwenye full councel yao.
Yaani mtu atoke Vwawa aende Tukuyu kufuata Huduma za Serikali ya Mkoa? Sio uchizi huo?
Na huyo Kandoro wenu na Kikwete wana haraka gani na hilo? Gaweni mkoa wa Pwani kwa kuanzia.
Wilaya ya Rufiji iunganishwe na Bagamoyo na Makao makuu yawe Ikwiriri. So stupid! Anzeni ha hilo....