Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Sasa nadhani hii ni inaitwa jina maarufu kamali ya wajinga na wajinga ni sisi wenyewe kuamua hisia zetu
Hivi baby ingeluwa ndo wewe maalim seif, kwa hali waliokuwa nayo chadema ungehama kweli? Ebu sema ukweliNenda choosing unashangaa nini sasa
Ha ha kapakatwe huko chadema ipo itakuwepo na itasonga mbele akikubemenda mwambie anatwanga maji kwenye kinuHivi baby ingeluwa ndo wewe maalim seif, kwa hali waliokuwa nayo chadema ungehama kweli? Ebu sema ukweli
Sijasema kama chedema haipo. Naona hujanielewa. Mi nauliza hali ya sasa ya chadema. Yaani hali no mbaya kiliko unavyofikiria. Wewe mwenyewe si unaona. Watu wanahama kila siku. Uchaguzi wa hivi karibuni atujapata hata kita cha mabua kama si cha mbaoHa ha kapakatwe huko chadema ipo itakuwepo na itasonga mbele akikubemenda mwambie anatwanga maji kwenye kinu
Mwenyekiti Mbowe,kulikoni?,kama unaona ngumu kujiuzuru mrithishe chama mdogo wako,ruzuku utaendelea kuipata tu,kuliko hii fedheha,inashangaza kuona hua mko makini kuwaambia viongozi wa serikali wajiuzuru kwa dhana ya uwajibikaji. sasa yanayoendelea ndani ya chama chako kwa nini usijiuzuru kuonyesha dhana ya uwajibikaji?au mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?
Why mkuuDaaah mambo ni mengi aiseeee
Naona hata msaidizi wa mbowe benard mwakuembe bae pia ameenda ccm. Nahisi mbowe nae anakaribiaBaba Chupa anaogopa pampas atapata wapi
Mkuu mbona lugha ya kukata tamaa hiyo?,ile intelijinsia yenu iko wapi siku hizi?Endeleeni kuwafanyia usodoma hao amnao wasajili mjaze mambwiga kwenye hilo genge lenu la kigaidi.
wanamchi wanawatuma wawakilishi wao wamuunge mkono kwa niaba yao. Shida je nikweli wananchi wote wanamuunga mkono?Hakuna ushindi unaoporwa,kasi ya Rais Magufuli ni zaidi ya 4G,Usipime,wananchi wamemuelewa
Mkuu kumbe wanajiuzulu kwa sababu ya Mbowe na sio kuunga mkono Juhudi?Mwenyekiti Mbowe,kulikoni?,kama unaona ngumu kujiuzuru mrithishe chama mdogo wako,ruzuku utaendelea kuipata tu,kuliko hii fedheha,inashangaza kuona hua mko makini kuwaambia viongozi wa serikali wajiuzuru kwa dhana ya uwajibikaji. sasa yanayoendelea ndani ya chama chako kwa nini usijiuzuru kuonyesha dhana ya uwajibikaji?au mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu?
Mkuu mbona lugha ya kukata tamaa hiyo?,ile intelijinsia yenu iko wapi siku hizi?
Mkuu ,lugha za namna hii ndizo zinazoiangamiza chadema
Sijasema kama chedema haipo. Naona hujanielewa. Mi nauliza hali ya sasa ya chadema. Yaani hali no mbaya kiliko unavyofikiria. Wewe mwenyewe si unaona. Watu wanahama kila siku. Uchaguzi wa hivi karibuni atujapata hata kita cha mabua kama si cha mbao
Hakuna ushindi unaoporwa,kasi ya Rais Magufuli ni zaidi ya 4G,Usipime,wananchi wamemuelewa