kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
mmh!!! kazi ipo, njaa mbaya sana.
Hiyo ya Kawe hapo unampa 'promo' tu Halima Mdee...mimi ni pro-Chadema supporter lakini sijawahi kuona mBunge dhahifu kushughulikia kero za wananchi wa jimboni kwake kama Halima Mdee. Nakubali ni mBunge mahiri kwa kushughulikia mambo ya kiTaifa, lakini Mdee hujachaguliwa na Taifa, umechaguliwa nasi wanaKawe...na hutujali, tuna kero kibao, tunatengeneza vikamati vya kujitolea na task-forces kufuatilia kero zetu pasi wewe kushiriki hata kidogo!
yes, hizi sheria ndizo zinaibuka migogoro ya ardhi kila sehemu katika nchi yetu.Mnaweza kukesha kumlaumua mbunge au madiwani lakini ukweli unabaki palepale kuwa iwapo sheria ya nchi ya ardhi inaipa nguvu kubwa wizara kuliko local governments wawakilishi hawa hawataweza kumsimamisha mama Tibaijuka kuendekea na mikakati ya wizara ya jiji jipya la Kigamboni.
hiyo kamati umeiunda lini na mlipitia mchakato upi? wananachi wa kigamboni hawaitambui. haya ndiyo mapungufu tunayoyaongelea.huyu mbunge hana ushauri mzuri na kuna hisia kuwa ana agenda ya siri naye kwenye mradi wa kigamboni, kwa mfano amekuwa akituhumiwa kushindwa kuipa kamati ya wanakigamboni ushirkiano na utaalamu
mimi ni miongoni mwa wahanga ambao tumo ndani ya sakata hili na serikali, ki ukweli mh. Ndugulile anatutetea sana, hawa madiwani wanataka kutuzunguka, wanaenda kuongea na waziri bila hata kukusanya maoni yetu. ndiyo maana ki-ujumla huu mradi umejaa usiri mkubwa.
Hawa madiwani hawajatimiza wajibu wao wa kukusanya maoni ya wananchi na kinachokubaliwa kwenda kukiwakilisha kwa mbunge ili wote kwa pamoja (Mbunge, madiwani) waende kwa waziri kumpa kitu kamili ambacho kinatoka kwa wananchi. sasa wao wanachofanya ni kumzunguka mbunge, kutuzunguka sisi wananchi wamiliki wa eneo hili then wanaenda moja kwa moja kwa waziri kusema mambo ambayo sisi hatujaafikiana nao.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa mbunge wetu Ndugulile, anatutetea sana kuhusu mradi huu na anajaribu kila kiwezekanalo ili uwe na haki, uwazi na ukweli.
mimi ni miongoni mwa wahanga ambao tumo ndani ya sakata hili na serikali, ki ukweli mh. Ndugulile anatutetea sana, hawa madiwani wanataka kutuzunguka, wanaenda kuongea na waziri bila hata kukusanya maoni yetu. ndiyo maana ki-ujumla huu mradi umejaa usiri mkubwa.
Hawa madiwani hawajatimiza wajibu wao wa kukusanya maoni ya wananchi na kinachokubaliwa kwenda kukiwakilisha kwa mbunge ili wote kwa pamoja (Mbunge, madiwani) waende kwa waziri kumpa kitu kamili ambacho kinatoka kwa wananchi. sasa wao wanachofanya ni kumzunguka mbunge, kutuzunguka sisi wananchi wamiliki wa eneo hili then wanaenda moja kwa moja kwa waziri kusema mambo ambayo sisi hatujaafikiana nao.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa mbunge wetu Ndugulile, anatutetea sana kuhusu mradi huu na anajaribu kila kiwezekanalo ili uwe na haki, uwazi na ukweli.
kaka hapo pekundu mimi sijui chochote kama mbunge wangu alishalipwa fidia, na sidhani anaweza kuwasaliti wana kigamboni kiasi hiki. kwa kuwa na yeye mi member basi tusuburi aje atoe ufafanuzi zaidi.Mbona hakukutetea na wewe ukalipwa fidia kama yeye alivyoplipwa,kwa nini alipotishiwa kupelekwa
kamti ya chama akaufyata?
Wenzake wakina Mnyika wanafanya Mikutano kukusanya Kero za wananchi ndio maana yangu kumuona. Sasa nije mjini kufanya nini? Kumuona Ndungulile? Wakati wakati wa kura nilipigia mjini? Hebu peleka ujinga huko! Kwahiyo anawakilisha watu wa mjini wakati sisi wapiga kura wake tuna Kero ambazo anatakiwa aziwakilishe serikalini au atakuja tena 2015?
Ndio nimeaza kuhamasisha tumtoe mchumia tumbo2015 huwezi kumtoa mwenyewe inabidi ushirikiane na wananchi wenzako wa mbagala ,,,, je unawatayarisha vipi wananchi wenzako kuyatafuta mabadiliko 2015 mkuu?
kaka hapo pekundu mimi sijui chochote kama mbunge wangu alishalipwa fidia, na sidhani anaweza kuwasaliti wana kigamboni kiasi hiki. kwa kuwa na yeye mi member basi tusuburi aje atoe ufafanuzi zaidi.