Madini ya ulanga yanahitajika

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Ulanga mweusi tinted.Kwa kuanzia zinahitajika kama tani 5 hivi.Kama unazo nicheki pm.Bei maelewano.
 
Uko wapi uletewe

Mkuu hiyo ilitangazwa siku nyingi sana zilizopita.

Ila, iwapo hiyo biashara unayo,
Au kama unayo MADINI yoyote mengine,

Nitafute nikutafutie Masoko.

Piga: +255-714-59-15-48.
[HASHTAG]#dalalitz[/HASHTAG] (GeneralBroker)
 
Mkuu hiyo ilitangazwa siku nyingi sana zilizopita.

Ila, iwapo hiyo biashara unayo,
Au kama unayo MADINI yoyote mengine,

Nitafute nikutafutie Masoko.

Piga: +255-714-59-15-48.
[HASHTAG]#dalalitz[/HASHTAG] (GeneralBroker)
Habari. Nina mawe yenye rangi ya kijani. Naomba uniambie ni mawe gani na km unaweza nitafutia soko tuone tunatokaje. Naambatanisha na picha
 
Mi hata kuyaona sijawahi.....daaahh yanatumika kwenye vitu gn hayo[emoji54]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…