JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,795
- 9,153
Nimesoma gazeti The Guardian ripoti ya IMF imetaja kuwa licha ya mauzo ya dhahabu nje kufikia US$ 1.5bn bado mapato ya Serikali ni US$ 100m kwa mwaka. Yaani jamaa wanachukua 1500m sisi tunaambulia 100m. Huu ni wizi wa mchana kabisa unaohalalishwa na mikataba ya kishenzi mno. Hivi tuliowapa dhamana ndio wanafanya upuuzi namna hii! kweli ukiona mtu anawatetea ujue anafaidika na yeye. hiini aibu kubwa sasa tofauti yetu na machifu waliosaini mikataba kuuza himaya zao miaka hiyo iko wapi? toba, bado gesi sasa!