- Thread starter
- #21
Tokea juz nmemeza ,, nilikuwa nauliza madhara yakeUnapoteza muda..meza haraka
Tokea juz nmemeza ,, nilikuwa nauliza madhara yakeUnapoteza muda..meza haraka
Hii PEP zinatumiwa mda gani baada ya tendo and zinazuia nini exactly??naombeni ufafanuzi
Ni dawa za kuzuia HIV kama umefanya sex na mtu unayedhan ana HIV ili kujiweka salama
TLE sio poa..efaverenz sio mchezo. Usiku unaota unakimbizwa na mazombiTumia tenofovir/lamivudine/ dolutegravir (TLD)
Hapana pharmacy sidhan kama vipo,,, kuhusu kufanya kazi wanasema masaa 72 baada ya tukio,,, lakin the more unavowahi ndo na ufanisi wa dawa kuzuia maambikizi unakuwa mkubwaHivi vidonge vinapatikana hata pharmacy or mpaka uwe recommended na daktari?vinafanya kazi mda gani baada ya tendo??asante kwa ufafanuzi
Hapana pharmacy sidhan kama vipo,,, kuhusu kufanya kazi wanasema masaa 72 baada ya tukio,,, lakin the more unavowahi ndo na ufanisi wa dawa kuzuia maambikizi unakuwa mkubwa
Hizi dawa huwa ni Kali sana,ila kinachotakiwa kunywa Maji mengi Jitahidi kula sana maana zina nguvu sana.huwa sina kichefuchefu,kizunguzungu wakati mwingine hata kutapikaMajuz nmetembea na demu wangu ambaye nna muda cjakutana naye, sasa wakat wa kusex kwa bahat mbaya kondom ikapasuka nkamwambia tukapime akasema anawahi anasafiri nkamshawishi akakataa kabisa akasema anawahi kwenda Moro,, sasa mm nkawa na mashaka naye ikabidi niwasiliana na Dr kwenye hosp moja iv akasema kwa vile kakataa kuja kupima inabidi tukuanzishie PEP ili kama kuna maambukizi yoyote yasikupate,, nkasema ok wakanipima kwanza kama nina maambukizi nkawa nipo frsh, then nkapewa dawa hizo za PEP sema nlisahau kuuliza madhara yake. Naomben kujua madhara ya PEP coz majuz nmepewa sasa naona kama mwili unachange
Shukran sana mkuu kwa ufafanuzHizi dawa huwa ni Kali sana,ila kinachotakiwa kunywa Maji mengi Jitahidi kula sana maana zina nguvu sana.huwa sina kichefuchefu,kizunguzungu wakati mwingine hata kutapika
PEP pia inategeme huyo mpenzi wako alikua anatumia dawa akiwa katika mstari gani wa dawa kama ni mstari wa kwanza "first line" mstari wa pili"second line"... Kwaio kama akiwa mstari wa kwanza utatumia pep ya mstari wa kwanza kama atakua mstari wa pili utatumia pep ya mstari wa pili ila yote kwa yote Tanzania pep ni Mstari wa kwanza hatujarishi mhisiwa alikua katika mstari gani wa dawa....kwaio ni Mwendo wa TLE au TLD...ila ukimwi kuupata nao kazi siku maana kama mpenzi wako anatumia dawa vizuri na viral suppression ikawa vizuri hadi majibu yakasoma Target not Detected huyo hata uende kavu kavu hupati maambukiziMajuz nmetembea na demu wangu ambaye nna muda cjakutana naye, sasa wakat wa kusex kwa bahat mbaya kondom ikapasuka nkamwambia tukapime akasema anawahi anasafiri nkamshawishi akakataa kabisa akasema anawahi kwenda Moro,, sasa mm nkawa na mashaka naye ikabidi niwasiliana na Dr kwenye hosp moja iv akasema kwa vile kakataa kuja kupima inabidi tukuanzishie PEP ili kama kuna maambukizi yoyote yasikupate,, nkasema ok wakanipima kwanza kama nina maambukizi nkawa nipo frsh, then nkapewa dawa hizo za PEP sema nlisahau kuuliza madhara yake. Naomben kujua madhara ya PEP coz majuz nmepewa sasa naona kama mwili unachange
Kabla ya masaa 72 kuisha baada tu ya kutokewa na jambo kama hiloHii PEP zinatumiwa mda gani baada ya tendo and zinazuia nini exactly??naombeni ufafanuzi
DuuuTLE sio poa..efaverenz sio mchezo. Usiku unaota unakimbizwa na mazombi
.
Kabla ya masaa 72 kuisha baada tu ya kutokewa na jambo kama hilo
Na huwa inatumiwa ndani ya mwezi mmoja baada ya hapo unaenda kupima ukikuta fresh majibu basi wanakuachia
Mpira ulivyopasuka ulipata mchubuko mkuu?Majuz nmetembea na demu wangu ambaye nna muda cjakutana naye, sasa wakat wa kusex kwa bahat mbaya kondom ikapasuka nkamwambia tukapime akasema anawahi anasafiri nkamshawishi akakataa kabisa akasema anawahi kwenda Moro,, sasa mm nkawa na mashaka naye ikabidi niwasiliana na Dr kwenye hosp moja iv akasema kwa vile kakataa kuja kupima inabidi tukuanzishie PEP ili kama kuna maambukizi yoyote yasikupate,, nkasema ok wakanipima kwanza kama nina maambukizi nkawa nipo frsh, then nkapewa dawa hizo za PEP sema nlisahau kuuliza madhara yake. Naomben kujua madhara ya PEP coz majuz nmepewa sasa naona kama mwili unachange