Madhara ya minara ya simu

Madhara ya minara ya simu

VanMacJastas

Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
77
Reaction score
56
Wadau,naomba msaada na ujuzi kidogo katika swala hili,Ni madhara yapi husababishwa na Minara ya simu kuwekwa katikati na karibu kabisa na Makazi ya watu!!!!???? Mnaofahamu msaada wenu ni Muhimu!!
 
Hivi ni swali limekosa jibu au aliyeuliza sio maarufu??
Mkuu ingekuwa mada ya love ama politics ..... zngeshajaa comments, majibu na tafiti kibao .... hiyo wanaipotezea .... by the way mie nko gizan kuhusu suala hilo
 
Wadau,naomba msaada na ujuzi kidogo katika swala hili,Ni madhara yapi husababishwa na Minara ya simu kuwekwa katikati na karibu kabisa na Makazi ya watu!!!!???? Mnaofahamu msaada wenu ni Muhimu!!
Minara ya simu huwa inavifaa vya kusambaza na kupokea mionzi ya microwave ambayo ni mionzi inayotumika kwenye vifaa vya mawasiliano kama vile simu. Na kwa kawaida, mionzi ya microwave huwa ni mikali kiasi kwamba hata majumbani mwetu huwa tunaitumia kwenye microwave oven ili kupasha chakula kiwe cha moto kwa muda mfupi sana.
Kwahiyo, mionzi ya microwave inayotumika kwenye minara huwa inakuwa na nguvu kubwa kwakuwa mionzi hiyo inasambazwa kutoka mnara mmoja hadi mwingine, na namna mionzi hiyo isafirishwavyo ndivyo nguvu yake hupungua na ndio maana mtu yeyote aliyekaribu na mnara huwa anauwezo mkubwa wa kuathiriwa na hiyo mionzi kuliko yule aliye mbali na mnara.
Na madhara ya hiyo mionzi ni kwamba huunguza ubongo kiasi kwamba mwishowe mtu hupata kansa ya ubongo.
 

Attachments

  • k117-wip-no.png
    k117-wip-no.png
    154.6 KB · Views: 109
Minara ya simu huwa inavifaa vya kusambaza na kupokea mionzi ya microwave ambayo ni mionzi inayotumika kwenye vifaa vya mawasiliano kama vile simu. Na kwa kawaida, mionzi ya microwave huwa ni mikali kiasi kwamba hata majumbani mwetu huwa tunaitumia kwenye microwave oven ili kupasha chakula kiwe cha moto kwa muda mfupi sana.
Kwahiyo, mionzi ya microwave inayotumika kwenye minara huwa inakuwa na nguvu kubwa kwakuwa mionzi hiyo inasambazwa kutoka mnara mmoja hadi mwingine, na namna mionzi hiyo isafirishwavyo ndivyo nguvu yake hupungua na ndio maana mtu yeyote aliyekaribu na mnara huwa anauwezo mkubwa wa kuathiriwa na hiyo mionzi kuliko yule aliye mbali na mnara.
Na madhara ya hiyo mionzi ni kwamba huunguza ubongo kiasi kwamba mwishowe mtu hupata kansa ya ubongo.

Kwamaana hiyo wakina sie tunaofanya vibarua kwenye hii minara tupo hatarini zaidi?...nakunamtaalam mmoja aliwahi kuniambia hiyo mionzi inapelekea kupata watoto wa kike tu wakiume utawaonea kwa jirani
 
mionzi kutoka katka minara ya simu ni non-radioactive rays,yaan ni mionz isiyokua na uwezo wa kuleta madhara,value yake haifikii threshold value ya human body
 
Minara ya simu huwa inavifaa vya kusambaza na kupokea mionzi ya microwave ambayo ni mionzi inayotumika kwenye vifaa vya mawasiliano kama vile simu. Na kwa kawaida, mionzi ya microwave huwa ni mikali kiasi kwamba hata majumbani mwetu huwa tunaitumia kwenye microwave oven ili kupasha chakula kiwe cha moto kwa muda mfupi sana.
Kwahiyo, mionzi ya microwave inayotumika kwenye minara huwa inakuwa na nguvu kubwa kwakuwa mionzi hiyo inasambazwa kutoka mnara mmoja hadi mwingine, na namna mionzi hiyo isafirishwavyo ndivyo nguvu yake hupungua na ndio maana mtu yeyote aliyekaribu na mnara huwa anauwezo mkubwa wa kuathiriwa na hiyo mionzi kuliko yule aliye mbali na mnara.
Na madhara ya hiyo mionzi ni kwamba huunguza ubongo kiasi kwamba mwishowe mtu hupata kansa ya ubongo.
Nashukuru,nimepata Mwanga kwenye hili!!!!
 
Back
Top Bottom