Madhara ya michoro mwilini (Tattoo)

kwann mwenye tatoo haruhusiwi kuchangia damu hata kama atapimwa na ataonekana hana ugonjwa wowote

Kuna magonjwa inachukua hata mwaka hadi kuanza kuonekana. Tattoo si kitu kizuri, vifaa wanavyotumia sehemu nyingi havioshwi vizuri watu wanaishia kuambukizana magonjwa tu, kumbuka machine ya kuchora tattoo imegusa damu ya kila mtu aliyeitumia.
 

Acha kumuingiza Mungu kwenye mijadala ambayo hamuhushi yeye. Mungu hapendi vitu vingi hata hiyo simu unayotumia kuchat Mungu hapndi kwa maana humo kwenye simu kuna mauchafu yako kibao tu.

So zifanye fikra zako ziwe pana
"Kwa maana yeye alishatupa Nguvu na akili za kutawala Dunia"
 

" jambo lolote lenye kumuhusu binadamu na ukakuta wanadamu wanajadili gafla akatokea mtu akaingia Nguvu za Mungu, basi hapo ndio ukomo wa binadamu kufikiri"

Sasa ndugu hapa tunajadili masuala ya Tattoo kwa mitazamo ya kawaida na sio ya Kishirikina. Unaposema chale maana yake unaingiza mambo mengine hasa ya Uchawi.

Kuna tofauti za kimatumizi na dhamira kati ya Tattoo na Chale.
Usichanganye mambo[/QUOTE]Soma vzuri.. Uelewe.... Sio chale tu. Mzeee hata alama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la tattoo nilishasema acha dhambi nipate tu, It took me about two (2) damn years kufikiria maamuzi yangu ya kuchora tattoo, finally nimechora tattoo yangu ya kwanza ambayo ina maana kubwa sanaa kwenye maisha yangu, si urembo wala ubishoo. Sijutii kabisa na sitojutia na kama tunapata dhambi kwa uasherati, ulevi, fitina na usengenyaji, hii la tattoo ni dhambi kama hizo tu. Only God can Judge me.
 
vipi kuhusu kuvaa hereni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzee mimi pia napenda sana black history.nahitaji tuungane katika kushare documentaries na vitabu vya kusoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeichorea bongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata dhambi ya uasherari, ulevi nk watu hujutia mkuu.. tunza comment yangu muda unakuja lazima utajutia kuchora tatoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…