Madhara ya kutafuna mchele mbichi/udongo

Kunyweni bio water natatizo yataisha. Bo water yanapatikanaje inabidi mnitafute. Andikeni email zenu na no za simu tuwasiliane.
 
inawezekana wanaupungufu wa madini chuma. Watakuwa na mifupa isiyo imara sana, na ikitokea bahati baya kuvunjika mfupa, kuunga inakuwa shughuli nzito kidogo.
 
Hakuna majibu yaliyoridhisha hapa, endeleeni kuchangia!

Mara nyingi watafuna mchele wana upungufu mkubwa wa madini ya chuma(iron),,huwa upungufu wa dam
Ukienda hospitali ukafanyiwa uchunguzi utadhihirishiwa hil
Madhara ni damu huendelea kuwa ndogo na hamu ya kutafuna huongezeka jinsi madini ya iron yanavyogungu
Mtumiami pia anaweza akawa na matatizo ya meno kuoza na kuharibika,hata kukatik
Mimi ni mhanga wa kula mchele
Si utani meno yanasumbu
Nilitumia supplement za iron nikaacha kabisa kula mchele,hata nikiuona siutamani
 
1. jinsi ya kuacha ni kuamua kuacha kula.
2. madhara ni kwamba unapotafuna kuna uwezekano usitafune punje zote au hautatafuna wote so vile vipunje vinakuwa kama vimawe na vitajitunza kwenye appendix kama vimawe, kuna hatari appendix ikajaa na ukatakiwa ufanyiwe upasuaji.
punguza then acha, pika ule mpunga bana
Kuna rafiki zangu wawili tofauti walifanyiwa upasuaji wa appendix wote hawakupona, walifariki. Pia jirani yetu alipatwa na hili tatizo naye akafariki kabla ya operation. Huu upasuaji kwa kweli ni Mungu tu ndo aamue kukunusuru
 
Binafsi nimeshafanyiwa hiyo operation ya appendix kama miaka mitano iliyopita ila sikuwa na tabia ya kula mchele.

cha ajabu kuanzia mwaka jana nimeanza hii tabia ya kupenda kutafuna mchele najitahidi kuacha naweza nikavumilia siku mbili tatu lakini nikipita karibu na ulipo mchele nikasikia ile harufu basi lazima nitauchokonoa nitafune na nninapotafuna najisikia raha. ila mpaka naogopo sasa ninachofanya najitahidi kununua karanga nakaanga naweka ndani, nakaanga bisi naweka ndani ili nikisikia ile hamu ya kutafuna mchele basi nichukue bisi au karanga au matunda nitafune ile nipotezee ile hamu ingawa wakati mwingine bado vinanishinda nitajikuta tu nimechukua mchele hata kido nikatafuna.

Nilimuuliza mtu mmoja akaniambia kuwa nini upungufu wa starch hivyo nijitahidi kula starch kwa wingi hasa ugali wa mhogo. aliniambia madhara ya mchele ni pamoja na kupata appendix au vile vichembechembe pia vinaweza kusababisha matatizo ya koo. nafikiri wataalamu akina Njiwa, Mzizi mkavu, Riwa na wengineo watatusaidia.
Duh kumbe tabia ya kula mchele imekua kama uvutaji wa sigara , mtu akizoea haachi!!!?
 
Fanya hivi chukua :- mchele 6kg sukari 3kg roweka naa tumia mchanganyiko kuanzia alfajir 5:00, 10:00, 01:00, 04:00, 8:00, onyo usitumie maji, wa chakula kingine. Tumia dozi hii kwa siku 7. Ukimaliza dozi hutakaa uguse mchele tena
Utaua mtu ayseee
 
Wadau hebu tusaidiane kwenye hili,kuna dada mmoja hapa napofanyia kazi anapenda sana kutafuna mchele ikafikia stage akawa anaweka kwenye pochi na anatafuna siku nzima, sasa dada mwingine naye kadakia anatafuna balaa, mwanzoni nilidhani wana ujauzito lakini nikagundua kuwa hawana ila wanatafuna mchele mpaka inaogopesha, sasa kwa anayejua hakuna madhara yoyote kutokana na hii tabia ili niwa-caution waachane nayo mapema kabla hawajdhurika?
dah huyu sasa ndo much addicted, aweke gunia la mchele tu huko ili asipate tabu ya kutembea nao kwenye pochi
 
Back
Top Bottom