Madhara ya kuongeza Uume

Baba jayaron

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
3,995
5,432
Habari doctors,

Nahitaji ushauri wataalam kwani nnampango wa kuongeza uume.

Najaribu kuhisi yawezekana nikifika miaka ya 40 nguvu inaweza kupungua kabisa au nikashindwa kupafomu,

Pls nahitaji msaada wenu kabla sijafanya maamuzi.
 
Kwanini uongeze?? Je kama umeoa mkeo anasemaje au unajishtukia tuu sikushauri sana ufanye hivyo
 
Kwa ushauri uzoefu unaonyesha kuwa umri kati ya miaka 30-39 nguvu za kiume hupungua kisha kati ya miaka 40/41-49 nguvu za kiume huongezeka kwa kasi kama ile ya umri wa kubalehe.kuanzia miaka 50-60 kama huna tatizo lolote la kiafya linalosababisha kupungua nguvu za kiume k.v diabetic,figo na mengine nguvu huwa wastani. kuanzia 61 na kuendelea graph hushuka sana.Nashauri kama uume ni mdogo tu na huna tatizo lolote la nguvu za kiume achana na hiyo habari. artificial body structure mwisho wake i.e uzeeni ni matatizo.Unakumbuka yaliyompata mwanamuziki wa hip hop Michael Jackson (R.I.P) kwa kuweka pua ya bandia kuukimbia U-NEGRO. Acha! acha! acha! SWISS ME!!
 
Nakushauri ongeza ufike Inch 8 ili ukiingiza kwa mkeo iguse maini.

Pili,Ukitoka nje ya ndoa uwe unavisha pete.

Tatu,Mwone DrMwaka akupe dawa ya kurefusha.

Nne,anza mazoezi mwenyewe,livute vite mda wote ukiwa kazini
 
Unaingeza uume au nguvu za kiume? Una umri gani?
Nataka kuongeza saizi ya uume sema nahisi nguvu zinaweza kupungua kulingana na saiz ya ume niliyonayo pengine Ndio kiwango cha damu inayojitosheleza kunipa nguvu.
Umri nina 25
 
Umme wako kwa sasa una inchi ngapi na unataka ufikie inchi ngapi?

Je msichana wako shimo lake lina kina cha inchi ngapi?
 
S
Kwanini uongeze?? Je kama umeoa mkeo anasemaje au unajishtukia tuu sikushauri sana ufanye hivyo
Sijaoa ila nataka kua huru na mimi nikiwa beach niwe navaa box au bukta fupi ili uume wangu uonekane nivutie watu maana naskia wanapenda uume mkubwa
 
Umme wako kwa sasa una inchi ngapi na unataka ufikie inchi ngapi?

Je msichana wako shimo lake lina kina cha inchi ngapi?

Sina a Nahisi hawanipendi pia nataka kua huru na mimi nikiwa beach niwe navaa box au bukta fupi ili uume wangu uonekane nivutie watu maana naskia wanapenda uume mkubwa
 
Uongeze uume kwa ajili ya kufanya maonesho beach???!!!

Product za BRN ! Nchi hii ina changamoto lukuki.
 
Umme wako kwa sasa una inchi ngapi na unataka ufikie inchi ngapi?

Je msichana wako shimo lake lina kina cha inchi ngapi?


Mh jaji, nilihudhunika sana kuninyima ile ajira ya u-houseboy.

Please madam, naomba unifikirie!
 
Nakushauri ongeza ufike Inch 8 ili ukiingiza kwa mkeo iguse maini.

Pili,Ukitoka nje ya ndoa uwe unavisha pete.

Tatu,Mwone DrMwaka akupe dawa ya kurefusha.

Nne,anza mazoezi mwenyewe,livute vite mda wote ukiwa kazini

7633W.jpg


Mkuu hii ndiyo human anatomy sasa kama una dushe la kugusa maini unaweza kuwa muuaji.
 
Ili uweze kumgegeda vizuri huyo binti wa kichagga na kigiriki!? Kila la heri ila angalia tu dushe lisije likalala DORO simama simama na wewe.

Manager: Nashawishiwia kupewa ngono ili nitoe kazi

Habari doctors,

Nahitaji ushauri wataalam kwani nnampango wa kuongeza uume.

Najaribu kuhisi yawezekana nikifika miaka ya 40 nguvu inaweza kupungua kabisa au nikashindwa kupafomu,

Pls nahitaji msaada wenu kabla sijafanya maamuzi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom