Kubambikiwa watoto katika familia ni jambo la kawaida,inawezekana hii tabia ilianza tangu enzi za mababu zetu. Kwa kizazi cha sasa, tusitumie teknolojia (DNA) kufahamu kama mzazi mwenzio amechakachua au laa; kufanya hivyo ni kuhatarisha uhusiano uliopo na kusababisha maafa.