Hili swali nlimuliza doctor moja kwenye online chat n jibu alilonipa ni kua they dont have any dangerous side effects apart from headaches au kua na cycle ya ovyo ambayo haifati siku maalum...
I am a male though! usiulize nlikua natafuta nini kuhusu elimu ya morning after pill, am always curious about everything, sex education happens to be one of them... Na kama unapendapenda kusoma research findings mbalimbali em pitia hapa uone some research ambayo ilishafanywa kutest effects of using Plan B au Morning after kwa muda mrefu..
http://www.rhtp.org/contraception/emergency/documents/RepeatUseofEC.pdf
Though ningependa kusikia from any doctor humu ndani....