Madhaifu Haya Kurugenzi ya habari na uenezi CHADEMA yanatia kichefuchefu

Ni muda mrefu sasa kurugenzi ya habari na uenezi kupitia kwa Tumaini Makene imekuwa ikishauri wa namna ya kutumia kila fursa inayopatikana kukitangaza chama itumiwe ipasavyo, Cha kushangaza ama kwa dharau, au uzembe au ukosefu wa uelewa wa kutosha bwana Makene na maofisa wenzake (Isipokuwa Mnyika kwa kuwa jambo hili ni ndogo na lilitakiwa liwezwe na hawa akina makene na wenzake) wameshindwa kabisa kuwa wanaweka “Full video” za hotuba za kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Imekuwa ni kawaida kwa Bwana makene kuweka hotuba hizi katika “Full text” i.e maandishi pekee na hakuna sababu za msingi zinazomfanya yeye na timu yake kushindwa ku-upload na video za hotuba hizi ktk mitandao hii km vile youtube, jf etc.
Kuna faida nyingi sana za kuwa na video hizi zikiwa full video kushinda maandishi (ieleweke sijasema maandishi

Unachokishuri ni sawa lakini kina faida na madhara yake. Kama kuna uongo na chumvi nyingi video hizo ni kitanzi baadaye. Kama zinaukweli zitakijengea heshima Chama
 
Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe

Nabado Chadema mtalishana SUMU mwaka huu,.
Safi sana, watukane bwana kwanini wanapinga mawazo yako matukufu.
 
Mi nilivoona iyo kichwa ya Habari nikafikiri hayo Madhaifu ni Kichefuchefu hata kinaweza kuyumbisha chama...kumbe ni Maoni tu kutaka hotuba ya Youtube....Youtube tuuu ?!,?

Makene si yupo hapa ....ulishindwa kumwambia ??? Watanzania bana au ndo umaarufu
 
Siyo tu makao makuu, Kurugenzi inatakiwa kuhamasisha uwapo wa Address za kila eneo la kisiasa humu ndani, Facebook, Twitter na kila kona ambayo inajulikana kwa kupasha habari. Kama radio zao hawatoi muda wa hewani kwa chama, ukichangia na Ving'amuzi problem, watu hawaoni TV siku hizi. Mtandao ni chombo kilichobaki na nguvu kiasi kuweza kuhamasisha ukuaji wa Chama
 
Back
Top Bottom