madereva wote wa JWTZ

madereva wote wa JWTZ

Aliyekwambia wanajeshi wa leseni ya udereva nani? Wewe ndo unataka kuleta balaa kubwa. Hao matraffic watapata wapi hela ikiwa madereva wote wa mabasi wskiendesha wanajeshi? Traffic wote watakonda......

mkuu nakubaliana nawe kweli matrafic wanaweza kuandamana au nao wataweka mgomo kama madereva
 
JWTZ hayo mabasi yao au wana mabasi ya kutosha Tz nzima..umewaza nini mkuu
 
Unafahamu madai ya madereva au unaropoka tu? Wanayo madai ya msingi kabisa, sema serikali ya kipuuzi haioni hilo
 
Mi nadhani sio madereva tu wanaotakiwa kurudi kusoma,nadhani wapo wakuu kibao wa nyanja mbal mbal serekalini namna wanavyoendesha mambo ndan ya taifa hil wanahitajika pia kurud kusoma.

Mbona hao waliosoma maprof. Madoct. N.k ndio wanaoshiriki katika ufisadi?

Mkuu wa kaya kasomea uchumi,Gavana wa BOT ni economist maarufu,waziri na naibu waziri wa fedha je? Ufisadi wote unaotokea hawaujui? Thamani ya Tsh. Kushuka sana hawaijui? Je wanatoa sababu zipi zinazochangia hayo?

Hofu ya Mwenyezi Mungu na Maadili ya uongozi bora ndio suluhisho.
 
Ushauri wa mwisho kwa amir jesh
mkuu,

amrisha madereva wa JWTZ kuendesha mabasi yoote ya abiria. na hasa ya mikoani bila kujali basi ni LA abood au mchina

hao wenye leseni zao tuachane nao.
hii ni hali ya Hatari .

Unatumia kichwa chako kuwaza au kufugia nywele? Nani atakaekubali kutoa gari lake kibabe?
 
Back
Top Bottom