madereva wote wa JWTZ

madereva wote wa JWTZ

Vivax

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
522
Reaction score
186
Ushauri wa mwisho kwa amir jesh
mkuu,

amrisha madereva wa JWTZ kuendesha mabasi yoote ya abiria. na hasa ya mikoani bila kujali basi ni LA abood au mchina

hao wenye leseni zao tuachane nao.
hii ni hali ya Hatari .
 
Aliyekwambia wanajeshi wa leseni ya udereva nani? Wewe ndo unataka kuleta balaa kubwa. Hao matraffic watapata wapi hela ikiwa madereva wote wa mabasi wskiendesha wanajeshi? Traffic wote watakonda......
 
Aliyekwambia wanajeshi wa leseni ya udereva nani? Wewe ndo unataka kuleta balaa kubwa. Hao matraffic watapata wapi hela ikiwa madereva wote wa mabasi wskiendesha wanajeshi? Traffic wote watakonda......

Hilo nalo neno aiseeee
 
JWTZ wnyewe wana damu za ukawa
 
Ushauri wa mwisho kwa amir jesh
mkuu,

amrisha madereva wa JWTZ kuendesha mabasi yoote ya abiria. na hasa ya mikoani bila kujali basi ni LA abood au mchina

hao wenye leseni zao tuachane nao.
hii ni hali ya Hatari .

Hii ni layman solution na haiwezi kutokea kamwe.
 
Mchoko wa akili una tofauti ndogo sana na kutowaza kabisa
 
Walisema kipindi kile kwamba mabasi yapo. Watende ka walivyofanya kipindi cha mgomo wa madaktari
 
Tunakoelekea Siyo Kuzuri Taifa Halisongi Mbele Kwa Sasabu Ya Migomo, Ajali, Mafuriko, Wakulima Na Wafugaji, Ugaidi N.K Tufanyeje Kama Taifa?
 
Na wakifanyiwa hujuma na madereva wa mabasi unategemea nini kitatokea
 
Tunakoelekea Siyo Kuzuri Taifa Halisongi Mbele Kwa Sasabu Ya Migomo, Ajali, Mafuriko, Wakulima Na Wafugaji, Ugaidi N.K Tufanyeje Kama Taifa?

haya yot yanasababishwa na udhaifu wa serikali ya jk ndo imetufikisha hapa tulipo,na km ccm itaendelea kubaki madarakan jiandae kisaikolojia kuckia mengi zaid ya hayo
 
Sasa nananza kujua kwanini Ugaidi ulizaliwa na unaendelea kushamiri,yaani badala ya kutafuta suluhisho kwa madai ya msingi ya madereva tunaangalia namna ya kuwaweka pembeni,sasa wataishije na familia zao? wao pia ni binadamu kama wewe na mimi!
 
Mi nadhani sio madereva tu wanaotakiwa kurudi kusoma,nadhani wapo wakuu kibao wa nyanja mbal mbal serekalini namna wanavyoendesha mambo ndan ya taifa hil wanahitajika pia kurud kusoma.
 
Ushauri wa mwisho kwa amir jesh
mkuu,

amrisha madereva wa JWTZ kuendesha mabasi yoote ya abiria. na hasa ya mikoani bila kujali basi ni LA abood au mchina

hao wenye leseni zao tuachane nao.
hii ni hali ya Hatari .

Wandeshe mabasi kwani umeambiwa yalinunuliwa na amiri jeshi mkuu!
 
​npata shida sana na IQ ya mleta mada

Labda wewe ndiye unayetupa shida, Mtoa mada amechokoza mjadala, tatizo liko wapi? wewe toa alternative inayofaa. Kizazi hiki ni wavivu wa kufikirii.......bahati mbaya wewe ni mmojawao, una bahati nzuri kina mshana jr na Konda wa bodaboda wamekupiga like.
 
Back
Top Bottom