lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Ni ukweli dhairi kwamba madereva wa kike ni makini sana pia ni nadra kusikia wamepata ajali,ila kwanini madereva wanawake wakiwa kwenye foleni hawapendi kuchomekewa na magari mengine yaliyopo nyuma yao?
Yaani wanabana sana huwezi kuwachomekea na gari yako. Kwanini wako hivi?
Yaani wanabana sana huwezi kuwachomekea na gari yako. Kwanini wako hivi?