Petrol Tank
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 205
- 366
Madereva wa aina tofauti tofauti wamekuwa kwenye kundi la kuwa na tabia za kupendangono uzembe tuanze hivi;
1. Bodaboda, hawa bila shaka wanaongoza kwa tuhuma za kuwapa wanafunzi mimba na wake za watu pia bila kusahau mabinti wa mitaani
2. Malori makubwa, waendesha malori huwa inasadikika kuwa hawabagui na katika safari zao huwa kila kituo ana mwanamke, mimi binafsi baba zangu wadogo wawili wamekufa baada ya kuingia grid ya taifa (UKIMWI)
3. Bajaji, hawa nao ni janga mjini wamekuwa wamekuwa wakihisiwa kujihusisha na vitendo vya ngono kwa wanafunz, wake za watu na mitaani huko
4. Tax, uber na wenzao hawa ni wakongwe na taarifa zao bila shaka tunazo
5. Mabas na daladala angalau kdgo hao japo nao wamo
6. Magar ya serikali na mashirika nao hawapo nyuma
7. Magar binafsi nao wanatutesa kweli tusio kua na magar bila shaka mnajua
Makund haya yapo kwenye hatar kubwa na wengine tayar wapo kwenye grid ya taifa hatua za makusud zinahitajika.
Nawasilisha
1. Bodaboda, hawa bila shaka wanaongoza kwa tuhuma za kuwapa wanafunzi mimba na wake za watu pia bila kusahau mabinti wa mitaani
2. Malori makubwa, waendesha malori huwa inasadikika kuwa hawabagui na katika safari zao huwa kila kituo ana mwanamke, mimi binafsi baba zangu wadogo wawili wamekufa baada ya kuingia grid ya taifa (UKIMWI)
3. Bajaji, hawa nao ni janga mjini wamekuwa wamekuwa wakihisiwa kujihusisha na vitendo vya ngono kwa wanafunz, wake za watu na mitaani huko
4. Tax, uber na wenzao hawa ni wakongwe na taarifa zao bila shaka tunazo
5. Mabas na daladala angalau kdgo hao japo nao wamo
6. Magar ya serikali na mashirika nao hawapo nyuma
7. Magar binafsi nao wanatutesa kweli tusio kua na magar bila shaka mnajua
Makund haya yapo kwenye hatar kubwa na wengine tayar wapo kwenye grid ya taifa hatua za makusud zinahitajika.
Nawasilisha
natania tuu "thiko siriaz"