Madereva na ngono uzembe!!

Madereva na ngono uzembe!!

Petrol Tank

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
205
Reaction score
366
Madereva wa aina tofauti tofauti wamekuwa kwenye kundi la kuwa na tabia za kupendangono uzembe tuanze hivi;

1. Bodaboda, hawa bila shaka wanaongoza kwa tuhuma za kuwapa wanafunzi mimba na wake za watu pia bila kusahau mabinti wa mitaani

2. Malori makubwa, waendesha malori huwa inasadikika kuwa hawabagui na katika safari zao huwa kila kituo ana mwanamke, mimi binafsi baba zangu wadogo wawili wamekufa baada ya kuingia grid ya taifa (UKIMWI)

3. Bajaji, hawa nao ni janga mjini wamekuwa wamekuwa wakihisiwa kujihusisha na vitendo vya ngono kwa wanafunz, wake za watu na mitaani huko

4. Tax, uber na wenzao hawa ni wakongwe na taarifa zao bila shaka tunazo

5. Mabas na daladala angalau kdgo hao japo nao wamo

6. Magar ya serikali na mashirika nao hawapo nyuma

7. Magar binafsi nao wanatutesa kweli tusio kua na magar bila shaka mnajua
Makund haya yapo kwenye hatar kubwa na wengine tayar wapo kwenye grid ya taifa hatua za makusud zinahitajika.

Nawasilisha
 
Madereva wa aina tofauti tofauti wamekuwa kwenye kundi la kuwa na tabia za kupendangono uzembe tuanze hivi;

1. Bodaboda, hawa bila shaka wanaongoza kwa tuhuma za kuwapa wanafunzi mimba na wake za watu pia bila kusahau mabinti wa mitaani

2. Malori makubwa, waendesha malori huwa inasadikika kuwa hawabagui na katika safari zao huwa kila kituo ana mwanamke, mimi binafsi baba zangu wadogo wawili wamekufa baada ya kuingia grid ya taifa (UKIMWI)

3. Bajaji, hawa nao ni janga mjini wamekuwa wamekuwa wakihisiwa kujihusisha na vitendo vya ngono kwa wanafunz, wake za watu na mitaani huko

4. Tax, uber na wenzao hawa ni wakongwe na taarifa zao bila shaka tunazo

5. Mabas na daladala angalau kdgo hao japo nao wamo

6. Magar ya serikali na mashirika nao hawapo nyuma

7. Magar binafsi nao wanatutesa kweli tusio kua na magar bila shaka mnajua
Makund haya yapo kwenye hatar kubwa na wengine tayar wapo kwenye grid ya taifa hatua za makusud zinahitajika.

Nawasilisha
Na hapa nimesahau madereva wa magari haya yanayotengeneza barabara ya kubeba vifusi na mengineyo na ya migodini, barabara ikipita vijijini huko wana jisevia karbu kijiji chotee
 
Umesema kweli hasa Hawa wa Mlori, nipo Boda wanakauli mbiu yao : ukitumia Kondomu unajito...... Mwenyewe peku peku na Tochi ya Igawa
 
Wanapata pesa, pesa inasababisha maovu mengi sana kama ikitua mikononi mwa zumbukuku.
Ukiwa na pesa hawa wanawake unaagiza tu kama unavyoagiza bidhaa, nani wa kukuzuia.
 
Hahaaaa we hauko serious imagine unapita na kifaru mtaani huku ukielekea eneo la starehe, unafika na kupaki, unaagiza bia zako kadhaa....
😄😄😄daahhh,.nakunywa na kula mpaka wahudumu wa bar wote sibakishi kitu,wakizingua tuu naenda kukalia dyuudee
 
Umesema kweli hasa Hawa wa Mlori, nipo Boda wanakauli mbiu yao : ukitumia Kondomu unajito...... Mwenyewe peku peku na Tochi ya Igawa
Ila condom basii tuu,..bora upige zako punyeto ujue moja,😎natania tuu "thiko siriaz"🤓
 
Back
Top Bottom