BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Mara nyingi mwanaume na mwanamke wakipanda bajaji basi wataanza kushikana shikana au kupeana makiss, wengine wanapigana madole kabisa
Hawa ndugu zangu wa bajaji zile side mirrors (saiti mira) huwa wanazitegesha kuona ndani. Yani badala ya kutegesha aone pembeni yeye anategesha ili kujua mnachofanya ndani.
Ukipanda bajaji na demu ukiona jamaa anajifanya anaweziweka vizuri we mchane tu mwambie aache umbeya afanye kazi yake.
Atasababisha ajali bure kushangaa yanayotokea humo ndani
Hawa ndugu zangu wa bajaji zile side mirrors (saiti mira) huwa wanazitegesha kuona ndani. Yani badala ya kutegesha aone pembeni yeye anategesha ili kujua mnachofanya ndani.
Ukipanda bajaji na demu ukiona jamaa anajifanya anaweziweka vizuri we mchane tu mwambie aache umbeya afanye kazi yake.
Atasababisha ajali bure kushangaa yanayotokea humo ndani