ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,235
Fix zako. Mchoraji wa Madenge siyo Kipanya. Madenge alikuwa natoka kwenye gazeti la Sani.Habari zenu !!
Ebwana leo nimeona tumzungumzie kipenzi cha watanzania walio wengi aliye julikana kama MADENGE , aliye kuwa akiishi kupitia fikra za masoud kipanya.
.
Kiukweli huyu bwana alipendwa kuliko hata baadhi ya viongozi wengi wa ki serikali ukiachia mbali JK NYERERE
richa ya kupata ushindani kutoka kwa wapinzni wake kikazi hapa nawazungumzia akina ,KIPEPE,PIMBI ,LODI. LOFA , Lakini bado hili halikumfanya apotee zaidi ya kuongeza ubunifu kila uchwao kazi yake kuu ilikuwa ni kuhakikisha watanzania ni watu wenye furaha muda wote
Hapa nadhani haya majarida yanayotoa orodha ya mataifa yenye furaha yange fanya. Tafiti zile kipindi cha zama za huyu bwana basi. Isingelikuwa ajabu kwa. Tanzania kushika namba za juu
Wanafunzi wa wakati ule tulitamani siku ikuche ili tukasimuliane habari za mtu huyu kule mashuleni tofauti na ilivyo. Sasa watoto wako bize na season
Kabla ya hizi mambo za mtandao na kiki ,vijiweni habari kuu alikua huyu bwana
Najua wengi mta shangaa mbona namuelezea kama binadamu
Naam hii ni kwa sababu ya umaarufu na mizinguo yake ilifika kipindi Wa mikoan tuliamini Madenge anaishi dar es salaam, huko vijijini pia taarifa walizo kuwa wakizipata na kuziamini ni a kuwa madenge yupo mjini..
.
Uhusika wake ulivutia Sana watoto nadhani hii ingeendelea ingetengeneza kizazi cha watoto wenye utamaduni wa kujisomea (Kama ambavyo watu wanapigia kelele jambo hili)
Lakini kipindi kile bila ya kulazimishwa na mtu tulitafuta magazeti kila kona alipo yahifadhi mzee
Najua ingekuwa ni marekani basi hollywood wangefanya kitu ila kwakuwa ni Tz
REST IN PEACE MADENGE chilhood hero
Hahaha DaHNimeishia uliposema Madenge ilikuwa fikra za Kipanya. Kama hata hujui waliokuwa wanamleta Madenge na Sani, utakuwa muongo
Mapungo ni golden boy alienda mpk Real Madrid, wajinga ndio waliwao maana wengine tulijua ni kwelimapungo...ndumilakuwili..babaubaya..zena na betina
Nimeishia uliposema Madenge ilikuwa fikra za Kipanya. Kama hata hujui waliokuwa wanamleta Madenge na Sani, utakuwa muongo
Mtunzi alikua nani? ChiefFix zako. Mchoraji wa Madenge siyo Kipanya. Madenge alikuwa natoka kwenye gazeti la Sani.
Chriss Katembo na nduguzeMtunzi alikua nani? Chief
Mimi nilikuwa najua hawa masela wanaishi Dar!Lodi Lofa na SokomokoView attachment 1233219
Hiyo Picha inaonesha Sokomoko ana alosto sana ya konyagi mwituLodi Lofa na SokomokoView attachment 1233219
ndumilakuwili anamvia sokomoko ampigie roba hapo,, ahahah,, zamaniLodi Lofa na SokomokoView attachment 1233219