Mademu wa kihaya na kichaga

Chawa wa lumumbashi

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
793
1,749
Merhaba!

Nikiri kutoka kwenye moyo wangu ukinimbia Nichague demu gani kutoka bara kati ya mhaya na mchaga mimi nitamchagua muhaya kutoka kwenye moyo sema tu nilikosea kuoa mchaga tu na najuta sana aisee.

Mademu wa kihaya kwanza wako romantic, hawana dharau,wana heshima na wanajua sex kunako sita kwa sita.

Nilikuwa na mchepuko wangu wa kihaya very romantic Jana amenipigia simu ameniliwaza baada ya kugombana na mke wangu wa kichaga.

Mademu wa kichaga hawako romantic,wakorofi,sio wapambanaji na pia Kuna kashfa ya kuua watu na hii kweli mimi nimeishhudia kwa mke wangu wa kichaga wanazingua sana.

Wanawake wa kihaya mungu awabariki Msiwe kama wanawake wa kichaga.Ahsante wanawake wa kihaya.

Cde.lumumbashi,
Mkristo mkatoliki
 
Mwanamke ni mwanamke tu, leo huyo unaemuona bora ukikaanae mwaka utakuja kumsema vile vile.
Hakuna aliye na uzuri wa moja kwa moja wala hakuna alie na ubaya wa moja kwa moja.

Mimi kwangu mwanamke bora ni yule anajua wajibu wake kama mwanamke dhidi ya mwanaume,makosa ya kibinadamu hayaachi kuwepo ila walao akizingatia wajibu wake walao hata kwa asilimia 45 ana afadhali.

Mwanaume automatically anatimiza wajibu wake kwa mwanamke hilo halina shaka, ila wengi wa wanawake walio kwenye mahusiano rasmi hawatimizi wajibu wao, matokeo yake ndio kama ya mleta mada kumuona yule ni bora kuliko huyu.
 
Merhaba!

Nikiri kutoka kwenye moyo wangu ukinimbia Nichague demu gani kutoka bara kati ya mhaya na mchaga mimi nitamchagua muhaya kutoka kwenye moyo sema tu nilikosea kuoa mchaga tu na najuta sana aisee.

Mademu wa kihaya kwanza wako romantic, hawana dharau,wana heshima na wanajua sex kunako sita kwa sita.

Nilikuwa na mchepuko wangu wa kihaya very romantic Jana amenipigia simu ameniliwaza baada ya kugombana na mke wangu wa kichaga.

Mademu wa kichaga hawako romantic,wakorofi,sio wapambanaji na pia Kuna kashfa ya kuua watu na hii kweli mimi nimeishhudia kwa mke wangu wa kichaga wanazingua sana.

Wanawake wa kihaya mungu awabariki Msiwe kama wanawake wa kichaga.Ahsante wanawake wa kihaya.

Cde.lumumbashi,
Mkristo mkatoliki
Kwa nini hujauawa na mkeo wa kichaga?
 
Km unataka hela namishe za hela muda wote oa mchaga. .hawa watu wamechukua tabia za wakenya. ..all the time ni mishe tu. .but no love,mhaya utapata vyote in 1 backet. .mishe yupo, misifa yupo, kujua kila kitu yy,penzi ndio usiseme
 
Merhaba!

Nikiri kutoka kwenye moyo wangu ukinimbia Nichague demu gani kutoka bara kati ya mhaya na mchaga mimi nitamchagua muhaya kutoka kwenye moyo sema tu nilikosea kuoa mchaga tu na najuta sana aisee.

Mademu wa kihaya kwanza wako romantic, hawana dharau,wana heshima na wanajua sex kunako sita kwa sita.

Nilikuwa na mchepuko wangu wa kihaya very romantic Jana amenipigia simu ameniliwaza baada ya kugombana na mke wangu wa kichaga.

Mademu wa kichaga hawako romantic,wakorofi,sio wapambanaji na pia Kuna kashfa ya kuua watu na hii kweli mimi nimeishhudia kwa mke wangu wa kichaga wanazingua sana.

Wanawake wa kihaya mungu awabariki Msiwe kama wanawake wa kichaga.Ahsante wanawake wa kihaya.

Cde.lumumbashi,
Mkristo mkatoliki

Ushashikwa mbupu tulia wewe unyoroshwe umempenda mwenyewe huo ni mzigo wako
 
Back
Top Bottom