Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Merhaba!
Nikiri kutoka kwenye moyo wangu ukinimbia Nichague demu gani kutoka bara kati ya mhaya na mchaga mimi nitamchagua muhaya kutoka kwenye moyo sema tu nilikosea kuoa mchaga tu na najuta sana aisee.
Mademu wa kihaya kwanza wako romantic, hawana dharau,wana heshima na wanajua sex kunako sita kwa sita.
Nilikuwa na mchepuko wangu wa kihaya very romantic Jana amenipigia simu ameniliwaza baada ya kugombana na mke wangu wa kichaga.
Mademu wa kichaga hawako romantic,wakorofi,sio wapambanaji na pia Kuna kashfa ya kuua watu na hii kweli mimi nimeishhudia kwa mke wangu wa kichaga wanazingua sana.
Wanawake wa kihaya mungu awabariki Msiwe kama wanawake wa kichaga.Ahsante wanawake wa kihaya.
Cde.lumumbashi,
Mkristo mkatoliki
Nikiri kutoka kwenye moyo wangu ukinimbia Nichague demu gani kutoka bara kati ya mhaya na mchaga mimi nitamchagua muhaya kutoka kwenye moyo sema tu nilikosea kuoa mchaga tu na najuta sana aisee.
Mademu wa kihaya kwanza wako romantic, hawana dharau,wana heshima na wanajua sex kunako sita kwa sita.
Nilikuwa na mchepuko wangu wa kihaya very romantic Jana amenipigia simu ameniliwaza baada ya kugombana na mke wangu wa kichaga.
Mademu wa kichaga hawako romantic,wakorofi,sio wapambanaji na pia Kuna kashfa ya kuua watu na hii kweli mimi nimeishhudia kwa mke wangu wa kichaga wanazingua sana.
Wanawake wa kihaya mungu awabariki Msiwe kama wanawake wa kichaga.Ahsante wanawake wa kihaya.
Cde.lumumbashi,
Mkristo mkatoliki