Mademu wa kichaga

Mademu wa kichaga

Status
Not open for further replies.

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,697
Reaction score
9,051
Wana MMU kwa wale wenye uzoefu naomba mniambie vipi watoto wa kichaga wanaweza mambo?nataka nioe huku kuna mtoto wa kichaga nshampata ndo nataka nijue
 
Ujue nn sasa,unaoa uchaga au mwanamke? Kabila halina nafasi.
 
wewe oa kama umependa,
alafu acha ukabila.
 
kama mmekubaliana oa achana na mambo ya ukabila cku zote ukabila hauna nafac kwenye ndoa hata kidogo.
 
Jiandae kununua stress killers kwani ni pasua kichwa sana...
Duh,kamanda you have spoken my mind.Mademu wa kichaga ni wababe sijapata kuona,mimi mwenyewe yasha nikuta najuta,kijana ajipange.
 
Utajisiakiaje nae akija hapa kuuulizia Jinsi kabila lako lilivyo?!!!
 
Kila kabila kuna element huwa wanazo ndo nataka kujua mfano wanyakyusa hasa wa kyela wana majivuno sana pia hawajatulia hili ni researched kabisa
 
Wana MMU kwa wale wenye uzoefu naomba mniambie vipi watoto wa kichaga wanaweza mambo?nataka nioe huku kuna mtoto wa kichaga nshampata ndo nataka nijue


Usiwe mtoto kihivyo mkuu. Kujua mambo si hoja kwani wewe mwenyewe kama una nia ya kuoa huyo mwanamke inabidi umwambie nini unapenda na si kuhisi tu ama kuja hapa kupata ushauri. Ndiyo maana makabila mengine tuna mila ya kutahiriwa na kufundwa jandoni namna ya kumfurahisha mwanamke au vice versa.
 
Kama unataka kuoa kabila kaoe jiwe! unaonekana kama binadamu toleo la analojia!!!! Mapenzi hayana ukabila wewe......utajisikiaje nae akitupia thread hapa juu ya kabila lako?? Msomi sio mpaka aandike notice hata akili ya maisha ni usomi lakini sasa wewe unaonekana hiyo hauna. hilo sio swali la kuuliza jf.
 
Wana MMU kwa wale wenye uzoefu naomba mniambie vipi watoto wa kichaga wanaweza mambo?nataka nioe huku kuna mtoto wa kichaga nshampata ndo nataka nijue

muulize tu atakwambia.....!

ni wa wazi sana hawa watu!

si ulimwona jack wolper kwa dallas lakini?
 
Ujue nn sasa,unaoa uchaga au mwanamke? Kabila halina nafasi.

ngoja nikuambie kitu mkuu na hata wakubwa woooote wa jf..

tusiambiane uongo jamani...!!

kujua kabila la mwenzi wako na tabia zao kuna umuhimu mkubwa sana! unaweza kuishi na mkeo kwa amani sana pale ambapo mmekuwa mmefahamiana vizuri (na hio ndio friendship kumbukeni!). kutakuwa na madhara makubwa sana endapo tutaendekeza hii tabia ya kusema mapenzi ni popote, kumbuka ukikosea hapa, utajutia maisha yako yote!!

naomba nisieleweke negatively!!! eti labda kuoa mtu wa kabila tofauti na la kwako labda ndio majanga, nooo!!! kuna watu wanaoa makabila yao lakin bado ndoa iankua ndoano!! na wengine wanaoa makabila tofauti, ndoa inakua tam sana!

ni hayo tu wenzangu!
 
Hakuna mwanaume hapa...bali kuna mtoto wa kiume anayehitaji kuoa.

Kila kabila kuna element huwa wanazo ndo nataka kujua mfano wanyakyusa hasa wa kyela wana majivuno sana pia hawajatulia hili ni researched kabisa
 
Duh! Inavyoeleke alikuchapa makofi sana! Teh teh teh!

Duh,kamanda you have spoken my mind.Mademu wa kichaga ni wababe sijapata kuona,mimi mwenyewe yasha nikuta najuta,kijana ajipange.
 
Wana MMU kwa wale wenye uzoefu naomba mniambie vipi watoto wa kichaga wanaweza mambo?nataka nioe huku kuna mtoto wa kichaga nshampata ndo nataka nijue

we mwenyewe unaweza mambo.......? we si muoaji
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom