Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Ikiwa inakabiliwa na mechi ngumu hapo kesho dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya kati,wachezaji wamewekwa kambini hapo Atriums Hotel Sinza lakini cha kushangaza jana jioni kwa geti la nyuma wachezaji hao walikuwa wanajivinjari na girlfriends wao waliowafuata hapo.kitendo hiki kimefanyika kwa siri bila kocha wao kujua,sasa najiuliza perfomance itakuwa nzuri kweli?