Akina Morris wapo wengi siyo kama zamani lakini naona wakina Mwamwindi hawapo kabisaHawa ma DC uchwara wamkumbuke Dr. Kleruu aliekuwa mkuu wa mkoa wa iringa alifumuliwa kifua kwa risasi na mkulima Saidi Mwamwindi kwa mambo ya kipumbav yanayofanana na ya huyo DC ingekuwa mimi tungegawana taasisi yeye angeishia uzazi na vifo nami ningeishia wizara ya mambo ya ndani ujumbe ungefika kwa waliobaki duniani
Enzi za akina Yusufu Makamba ma-RC walikuwa watu waungwana sana.Hawa vijana wenzetu baada ya kupewa madaraka na elimu zao za KKK yamewalevya kukandamiza kuwadhalilisha watumish na wananch waliochin yao...
Tofaut na madc/rc watu wazima wanakuwaga na hekima hata kwny maamuz yao huwa na weled sana...
Hata wale wanajeshi waliopewa ofis hawana ubabe wakipuuz...
.
.
KKK ndio tatzo lao kubwa
Yeaaah unanikumbusha mbali kidogo hao wazee walikuwa vzr saana vijana wenzetu leo yamewalevya mnooo wamekuwa miungu atiiiiEnzi za akina Yusufu Makamba ma-RC walikuwa watu waungwana sana.
....Uko sahihi mzazi apate wanasheria wa kunsaidia ili amshtaki DC personally.Kavunja mtoto mzazi anachapwaje? Huyu mzazi apatiwe msaada wa kisheria amshitaki DC kumsababishia maumivu na kumdhalilisha. Wanasheria jitokezeni mmsaidie huyu mzazi alichofanyiwa ni unyanyasaji mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
....Hopefully this will be noted. However I also hope that U know the reasons.... TAMAAHawa vijana wenzetu baada ya kupewa madaraka na elimu zao za KKK yamewalevya kukandamiza kuwadhalilisha watumish na wananch waliochin yao...
Tofaut na madc/rc watu wazima wanakuwaga na hekima hata kwny maamuz yao huwa na weled sana...
Hata wale wanajeshi waliopewa ofis hawana ubabe wakipuuz...
.
.
KKK ndio tatzo lao kubwa