Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Msisahau kuja na Zanzibar
Utanzania ni kidrive ur own car with family for holiday vacation.Ndio Ukenya huo, work hard then party hard, sio mdebwedo wazembe hata kutalii kunawashinda.
haha zanzibar lazima tutafika one dayMsisahau kuja na Zanzibar
Utanzania ni kidrive ur own car with family for holiday vacation.
Sent using Jamii Forums mobile app
haha zanzibar lazima tutafika one day
Haha yaani hakuna domestic tourism bongo lazima wageni kutoka nje waje kutalii nchi yaoWapiii...nyie wengi mumesotea Dar halafu baadhi yenu wenye mihela kazi mipombe ya Pierre tu na chips mayai, unakuta Mtanzania anajisifia nchi yake kwamba ndio bora kwa vivutio vya utalii lakini ukimuuliza utashangaa hajawahi kutalii hata kivutio kimoja.
Sisi tunatalii nchi yetu na Afrika Mashariki yote, utatukuta hadi Zanzibar tumeenda kutalii.
Pale Zenji nimepatalii sana.
Siyo jua kali tu, kuna njaa kali piaWacha nitalii pande za Isiolo nasikia jua kali afu kuna warembo wa kiborana na pia Archers post.
Nataka nije ku talii pande za Baringo then niende Bongoma, nipe list ya good hotels and activities.thisdayes mbona machungu na SGR yetu, hutaki mkenya awe na furaha na maendeleo yake?
Nataka nije ku talii pande za Baringo then niende Bongoma, nipe list ya good hotels and activities.
Sent using Jamii Forums mobile app
And this is just half of it, sasa ikikamilika? 😁😁😁😁 itabidi wamewongeza tracks zingine because Kenyans will over run it international tourists dont run us, we run them, unlike TanzagizaWe don't wait for foreigners to fill our hotels, board our flights and tour our coastal region as we are our tourist ourselves.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa.. hatufanani mseeKama pesa ya kufika Namanga ndo huna, ya kufika Baringo na Bungoma utatoa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.. so usidhani hali yako ya kukosa pesa ya kula bata na mimi nitakuwa nayo.
Yeah.. so usidhani hali yako ya kukosa pesa ya kula bata na mimi nitakuwa nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app