Madaraja ya mishahara

Madaraja ya mishahara

Kachumbi

Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
70
Reaction score
30
Naona watumishi wameamukuwa kimiya suala madaraja,serikali ilihaidi kulipa mwezi wa 11/2017,mpaka leo hii bila bila,labda kwa baadhi ya mikoa,hakieleweki kinachoendelea,au siasa !!!
 
mjifunze kujitolea kwa ajiri ya nchi yenu uoni wanajeshi wapo tayari kufa kwaajiri ya nchi....

ili jamii ipate maendeleo lazima wengine waumie.

Sijui na Rais anawaza kama mimi? kama anawaza tofauti pole yetu.
 
Naona watumishi wameamukuwa kimiya suala madaraja,serikali ilihaidi kulipa mwezi wa 11/2017,mpaka leo hii bila bila,labda kwa baadhi ya mikoa,hakieleweki kinachoendelea,au siasa !!!
Ushaanza uchochez
 
Tunamalizia chattle airport kuweni wavumilivu ndugu zangu!
 
mjifunze kujitolea kwa ajiri ya nchi yenu uoni wanajeshi wapo tayari kufa kwaajiri ya nchi....

ili jamii ipate maendeleo lazima wengine waumie.

Sijui na Rais anawaza kama mimi? kama anawaza tofauti pole yetu.
Tupo Pamoja Mkuu Kimsimamo Wa Tz Weng Hawaliziki Wanapenda Pesa, posho, Off, Wek End , Likizo , Kuliko Kazi Na Hatupo tayari kujitolea kwa ajiri ya jamii au nchi Huu Si Uzalendo, Hii Imepelekea Hata Viongoz Kula Pesa Za Wananch Kama Wangekua Wanafikili As Me And U Wangewaonea Huruma Watu Wa Hali Ya Chini Na Wacngekula Hata Senti Moja Sana Sana Wangerizika Na Mishahara Yao BUT ONE DAY MUNGU ATAWAONESHA MATUNDA YAO
 
mjifunze kujitolea kwa ajiri ya nchi yenu uoni wanajeshi wapo tayari kufa kwaajiri ya nchi....

ili jamii ipate maendeleo lazima wengine waumie.

Sijui na Rais anawaza kama mimi? kama anawaza tofauti pole yetu.
Wakati tunajitolea nani atakuwa anatulipia kodi, kusomesha watoto na kutusaidia kupata pesa za kumudu gharama za mjini
 
Back
Top Bottom