Whaaaaaat?
Kipisi is no more... Nakumbuka charminglady alitaka kumpa mwenza, bahati mbaya wakajikuta wote madume.
....asante, Charm,
ila naomba nawe mbwa wako awe msimamizi mkuu au ulishamtafutia mke?
Maana nakumbuka enzi zileee...!!!
meshtuka kidogo n nikadhan smthn else abt u urself madame haya tena mi na baba watoto jg tutakuwepo had matanga
...asante Judgement,
mazishi hayatakuwepo ila kuna mchango tu.
Tuma vocha ya Tigo au Airtel nami nitafarijika.
Remmy,
msiba upo hapahapa Dsm,na rambirambi pitishia kwa kutumia vocha.
Asente.
Msicheke jamani,kuna watu wanajenga mapenzi makubwa sana na mbwa/paka wao.
Pole Madam.
Kwahiyo niende uwanja wa taifa ehee, au Karimjee? au leaders? Dar kubwa bana Madame B.
Namba ako sina au umeniPM.
....alinipigia simu kuwa amepata udhuru,
ila atakuja Makamu wake kumwakilisha.
Hvyo njoo tuoshe Mkuu King.
Kwahiyo niende uwanja wa taifa ehee, au Karimjee? au leaders? Dar kubwa bana Madame B.
Namba ako sina au umeniPM.
Msicheke jamani,kuna watu wanajenga mapenzi makubwa sana na mbwa/paka wao.
Pole Madam.
Mh!
Remmy,usiende popote mpaka nirudi Mkoani.
Unataka niku PM ili utume hyo rambirambi?
Au njoo Mtaa wa Mateja utaukuta Msiba.