Anaogopa masponsa yake humu.
Maana atawachanganya wote
Hapana shehe, mi natamani nikae nae nipige nae stori mbili 3, huku tunashushia na vinywaji baridi tu! Wala sina habari nyingine!!utakuwa unammiss Tigo nanihiii wewe si bure.
Ntakucheki nipo WASWANU. hapa.Wewe hata ukimaliza saa 9 usiku...nicheki.
Dodoma ndogo hii....
Unaonekana upo vizuriAsante.
Ila siko Dar...nimehamia Dom muda tu mkuu.
Karibu sana mpwa
PM mbona hujibuSana mwaya.
Karibu.